Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Wapi nmefeli chief.

Kwan Kuna mahali umeskia watoto wangu&wife wamelaa njaa au wamekosa Ada mkuu?

Ni mgawanyo TU wa majukumu yangu na kufata kile mnachokipenda[emoji4]
Huyo mama J ni zigo lako umepewa na Mungu msaidie muumba kulitunza[emoji16]
 
Wala sio kupanga ila inatokea tu kwa mlioshibana hasaa inakuwa kama vita flan hvii
Tena Vita ya dunia,
Kuna ile nilikabwa nikawa kama pumz inataka kukata[emoji4]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…