Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Wapi nmefeli chief.

Kwan Kuna mahali umeskia watoto wangu&wife wamelaa njaa au wamekosa Ada mkuu?

Ni mgawanyo TU wa majukumu yangu na kufata kile mnachokipenda[emoji4]
Huyo mama J ni zigo lako umepewa na Mungu msaidie muumba kulitunza[emoji16]
 
Back
Top Bottom