Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Hii dunia hii ina mambo mengi, eti msomali kafia kwenye fiat dah hii sijui ndo inakuwaje?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mmh, basi watu mko vizuri. Six ejaculations kwa mara moja, wooi..akitoka hapo kesho hawezi kazi zake!
Na Tena wengine Wakitoka hapo kwenye 6goals wanakimbia mchaka mchaka kabisa[emoji4]
 
Nahs ujasoma vizur Uzi wangu ule wa mwanzo jins gani nilimpambania Sana future yake mchepuko uyu.

Hebu kaupitia pitia kwanza ule Uzi wa kwanza utapamajibu mengi ya post yako[emoji4]
 
"Msomali kafia kwenye fiat " naomba muongozo wa hii style tafadhali
 
Nahs ujasoma vizur Uzi wangu ule wa mwanzo jins gani nilimpambania Sana future yake mchepuko uyu.

Hebu kaupitia pitia kwanza ule Uzi wa kwanza utapamajibu mengi ya post yako[emoji4]
Nilisoma, ila sasa ndio hivyo biahsara zimemshinda na ukisema umuache leo hii mshahara wake ni mdogo haumtoshi ku survive, mchumba wake mwalimu ukamtimua,, wewe ni mtu mbad, inabidi umuoe tu hata kama sio wife material, kama humuoi mruhusu atafute husband wake
 
Mku kwa jinsi ulivyoelezea kungoaka hapo labda kibunda ikate la sivyo mkeo atakuwa hana nafasi kwenye mafanikio yako labda asubiri kipindi cha pili cha msoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…