Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Ha ha ha....pole Sana aisee.
Salamu zangu za pole za upweke zikufikie popote pale ulipo, roho ya uvumilivu ikujae [emoji3]
Hizi salam zinifikie huku niliko tena mi nahitaji mfungo wa wiki mbili nadhani
 
Inaonekana huyo mchepuko kakipa limbwata, maana sio kwa kumng'ang'ania huko
 
Kuna coloration kati ya uzuri wa kitandani na ukosefu wa akili ????

Nimeona hii inajadiliwa sana. Mara nyingi wanawake ambao wako vizuri upstairs wanakuwa sio wazuri sana on bed.

Hebu tufungueni akili hapa
Ni "correlation" siyo "coloration".
 
Aisee hii si eksi kabisa hii?
 
@DeepPond wee mseng.e sana ujue huu uzi wako ndio nausoma saivi maninaaaaaaaaaaa[emoji14][emoji39][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji36] nimeanza kujibana bana mapaja na nina wageni hapa daahhhhh!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…