Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Wanawake wanoweza bao nyingi kwa siku moja ni wachache Sana. THATS WHY NAMPENDEA ICHO MPENZ WANGU. nawe Hongera sana[emoji4]
Aiseeehhh mpe Hongera yake kiviruge wako mi mbona ningeshazima kha!!! Ndani ya gemu Nikikojoa mara 4 tu naeza nisitembeee siku nzima!!
 
Uzi mrefu ila nimesoma wote, kwa vile ni wako nadhani maana miuzi mirefu nishaacha kuisoma siku hizi,

Umeme umekata na niko porini, kesho nitatia neno japo nitakuta mood imepoa,,
 
Uzi mrefu ila nimesoma wote, kwa vile ni wako nadhani maana miuzi mirefu nishaacha kuisoma siku hizi,

Umeme umekata na niko porini, kesho nitatia neno japo nitakuta mood imepoa,,
Weee huku pia umekata ukute tupo pori moja [emoji849][emoji849][emoji15]!! mimi sijaimaliza chaji imebaki ndogo!
 
Uzi mrefu ila nimesoma wote, kwa vile ni wako nadhani maana miuzi mirefu nishaacha kuisoma siku hizi,
,

Kwakweli pole Sana, ebu MDA huu Fanya uingie chemba nkurushie Ela ya bia 4 zikupashe pashe joto na barid la porini uko Noelia mtu wangu wa Nguvu[emoji123]
 
Aiseeehhh mpe Hongera yake kiviruge wako mi mbona ningeshazima kha!!! Ndani ya gemu Nikikojoa mara 4 tu naeza nisitembeee siku nzima!!
Ha ha ha...
Shes very exceptional, ya huyu wangu hayana idadi. Inategemea na mood yake[emoji4]
 
Weee huku pia umekata ukute tupo pori moja [emoji849][emoji849][emoji15]!! mimi sijaimaliza chaji imebaki ndogo!
Pole itakuwa wamekata mikoa baadhi, naona wanarudisha na kukata tena, tanesco wapuuzi sana
 
Hilo kanisa litakalokuokoa wewe ntalipigia fitna mpk lifungwe kabisa[emoji12]
Hivi ww ukinikuta kanisani utanijua sasa
Hapa kwenyewe week mbili zolizopita sijui ni mhemko ule nilishaanza program za kwenda ulokoleni
Sasa mtumishi amepiga simu weeeee hadi amechoka kwamba ntarudi linii wapii
 
Back
Top Bottom