Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Ana miezi 3 na nusu tu toka ajifungue.
Yuko bize na mwanae mchanga[emoji4]
ana miez 3 toka ajifungu

hlf bado analala msibani usiku kucha

N way muendelezo wa story basi utuambie na mautundu ya wife japo kidogo, najua anayo ndo mana uliwez kutangaza ndoa.

mchepuko huyo alikuna baadae saaana
 
mahondaw
Noelia
venossah
[emoji3]
tapatalk_1588499088621.jpg
 
Ana miezi 3 na nusu tu toka ajifungue.
Yuko bize na mwanae mchanga[emoji4]
Badala msaidiane kumlea mtoto mchanga upo busy na mchepuko, ujue katoto kanajua kila kitu mapenzi yote kwa mama yake, huyo mchepuko atakuwa mke mdogo na mkeo utamsahau , maana hautakuwa na hamu naye wewe akili yako itakuwa huko wanakokuchomea udi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Badala msaidiane kumlea mtoto mchanga upo busy na mchepuko, ujue katoto kanajua kila kitu mapenzi yote kwa mama yake, huyo mchepuko atakuwa mke mdogo na mkeo utamsahau , maana hautakuwa na hamu naye wewe akili yako itakuwa huko wanakokuchomea udi!

Sent using Jamii Forums mobile app

Never[emoji4]
 
@DeepPond wee mseng.e sana ujue huu uzi wako ndio nausoma saivi maninaaaaaaaaaaa[emoji14][emoji39][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji36] nimeanza kujibana bana mapaja na nina wageni hapa daahhhhh!!!!
Dah! Pole Sana,
kua Makin uyo mgeni nae asije kua Jifisi la rikiboy akajisevia kimasihara tukatimiza msemo wetu ule wa mbuzi kafika kwa...[emoji4]
 
Yanii bwana halafu basi najitoa akiliiiii mniombee nataka niokoke kabisaa niwe nikicomment nisiandike vitu vya kuloanisha visugulio vya watu
Usiokoke binam,
Ukiokoka utakua unaboa binamu yang[emoji4]
 
Back
Top Bottom