Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Ni kakipindi tu katapita bila hata wewe kujua,,Yanii bwana halafu basi najitoa akiliiiii mniombee nataka niokoke kabisaa niwe nikicomment nisiandike vitu vya kuloanisha visugulio vya watu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kakipindi tu katapita bila hata wewe kujua,,Yanii bwana halafu basi najitoa akiliiiii mniombee nataka niokoke kabisaa niwe nikicomment nisiandike vitu vya kuloanisha visugulio vya watu
ana miez 3 toka ajifunguAna miezi 3 na nusu tu toka ajifungue.
Yuko bize na mwanae mchanga[emoji4]
Badala msaidiane kumlea mtoto mchanga upo busy na mchepuko, ujue katoto kanajua kila kitu mapenzi yote kwa mama yake, huyo mchepuko atakuwa mke mdogo na mkeo utamsahau , maana hautakuwa na hamu naye wewe akili yako itakuwa huko wanakokuchomea udi!Ana miezi 3 na nusu tu toka ajifungue.
Yuko bize na mwanae mchanga[emoji4]
Negative thinkers abaki njia kuu kwani yeye Lori, kuchapiwa kuna epukika[emoji3591][emoji3591] Ulichokiona kwa mchepuko wako kuna baharia kakiona kwa mkeo!
#MichepukoSiyoDiliBakiNjiaKuu
#KuchapiwaHakuepukiki
View attachment 2109532
Badala msaidiane kumlea mtoto mchanga upo busy na mchepuko, ujue katoto kanajua kila kitu mapenzi yote kwa mama yake, huyo mchepuko atakuwa mke mdogo na mkeo utamsahau , maana hautakuwa na hamu naye wewe akili yako itakuwa huko wanakokuchomea udi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah! Pole Sana,@DeepPond wee mseng.e sana ujue huu uzi wako ndio nausoma saivi maninaaaaaaaaaaa[emoji14][emoji39][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji36] nimeanza kujibana bana mapaja na nina wageni hapa daahhhhh!!!!
Hahaha ni mda sasaaaNi kakipindi tu katapita bila hata wewe kujua,,
Bia gan unatumia mkuu[emoji4]Negative thinkers abaki njia kuu kwani yeye Lori, kuchapiwa kuna epukika
Sent from my TECNO LA6 using JamiiForums mobile app
bas sawaYuko fresh, Ni Mambo ya jumuiya Zaid maana alofiwa Ni mwanajumuia mwwnzao [emoji4]
Kaka DeepPond shkamoo🙏 na hii hali ya hewa ya sasa.. sina budi kushukuru tu😂😂Yuko Bomba sana na nashkuru mungu keshasahau[emoji4]
Nimeiona nikajikuta nimeshawahi kuifanya jina tu ndo geniNmewekwa picha maboss wameondoa[emoji4]
Marhaba,Kaka DeepPond shkamoo[emoji120] na hii hali ya hewa ya sasa.. sina budi kushukuru tu[emoji23][emoji23]