Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Ndefu sana mkuu lakini ingependeza kama ungeikusanya pamoja badala ya kuigawanyagawanya hivi? Lakini umetiririka vzr mtu anweza kudhani ni fiction.
 
Ndefu sana mkuu lakini ingependeza kama ungeikusanya pamoja badala ya kuigawanyagawanya hivi? Lakini umetiririka vzr mtu anweza kudhani ni fiction.
Niliandika ikiwa imekusanywa pamoja.

Ila ktk uwasilishaji hapa jf nikahofia kuiweka yote kwa pamoja Kama page moja.

Maana Kuna watu humu Ni wavivu sana kusomabpage ndefu,
wakishaiona ndefu Sana,basi wanaipotezea[emoji4]
 
Maneno ya busara Sana Aya mkuu[emoji120]
 
Mkuu achana na hiyo K kuna vimeo lkn chako daaah hatari....uyo atakuroga mkuu. Fika mwisho semq inatosha....
Kuna MDA huwa nasema uyu mwanamke angefanikiwa kidg kunishika akili yangu (kumpenda ile deep).

wallahi ningeshaitelekeza familia na kuhamia kwake.

Maana Kuna MDA anatoa amri unabaki unajiuliza, hivi uyu anajiamini Nini kutamka UPUUZ Kama huu[emoji848]
 
Aise kuna watu mna uvumilivu...

What is so special about her pussy?
Mkuu hate sijui niseme nn,
Ila uyu mwanamke Ni mtamu Sana.

Yaan Nashindwa hata nielezeeje hii hali, ila kiukweli sio wa kawaida yule.

She's fucking sweet, romantic,hot and sexy sijawai ona tangu nmeanza sexlife[emoji4]
 
Sasa mkuu tukupe ushauri gani basi tusubiri yakukute...ila huyo hana mapenzi nawe ndio maana ana uwezo wa kukuacha!! Ila huduma za kifedha ndio zinamuweka kwako na uvumilivu wako lkn hana adabu kabisa. Siku akipata pesa anakumwaga mazima....! Wewe uko kwake kwa ajiri ya mbunye tu...!! Lkn sasa unakwama mwamba.!! Daaah mizingulizinya demu its too much.
 
Akili yang ishajitune tayar kua uyu Tunafanyaje iyo PUSSY to MONEY Exchange.

Hata yeye sometimes huwa namwambia live akiniletea zile za tanga kunipetipeti Sana na kujiliza UONGO anipenda sana,

Namwambiaga kabisa
"Wee mwanamke unatamaa Sana, afu mbinafsi Sana.
Najua tu akipatikana mwenye kidau zaidi Lazima utanipiga chini, Am always ready for that, for good"
Kwaiyo sinaga presha.

Kwaiyo hata nnavojitoa kwake sio kwamba Ni kwasababu nampenda sana au nahitaji yeye aoneshe kunipenda Sana.

Bali
Ni ile care ya kawaida ili kurahisisha na kuboresha huduma anayonipa.

Binafs siwez kuudanganya Moyo wangu eti nampenda au ntathubutu kumpenda.
Mapenz yangu yako trully kwa wife wangu, ila sex iko trully kwa uyo mchepuko.

Sijui Ni tatzo la peke angu au lah!
Ila kiukweli hivi vitu kwangu imeshindikana kabisa kuvichanganya kapu moja mkuu
 
Nafikiria kuleta kisa changu na mimi kinataka kufanana na hiki kwa kiasi fulani ila daah napitia magumu mnooo na mambo haya haya
 
Huyo demu ni kichaa.

Atakuja kukuharibia hutaamini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…