Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Basi Mwanamke yule akanitafuta anagomba kwann nmefanya vile, nmemdharau sana, nmeona ela yake hainathaman, sio utu ule yeye kachangia kwa Nia njema maana ananipenda. Nkamwambia tutayazungumza nikisharudi. Nikakata sim.

Sasa kwa bahat mbaya nilivoenda kupakia, nkakuta Bei za vitu zimepanda Sana uko. Ikabd Ile bajet nlotenga kununulia material za ujenz niongeze nichukue mzigo wa duka Kama nilivopanga. Nkasema huu ujenz upo ntaendelea nao baadae. Nizungushe kwanza. Afu vitu vingine nkavikosa vya muhimu nkavikosa ikabid nirudi baada ya siku 5 tu badala ya wiki 2 Kama nilivopanga awali.

Sasa Nilivorudi nkakuta mwenzangu kanuna, Basi ukawa mzozo akilalamika kwann nmeukataa mchanga wake. Yakawa Kama yameisha.
Tukasex kisha nikaondoka bila KUACHA posho ya meza.

Baada ya siku 2 Tena nkaenda kusex nae, Kisha nkaondoka bila KUACHA posho ya meza.
Ile natoka mlangoni Akanivuta kusema
"Hivi wee Mwanaume unanichukuliaje Mimi? Umeniona mi takataka Sana sio?"

Nkauliza "kwann?"

Akasema "Yaan unakuja,unaondoka TU hata ela ya kula huachi.
Kwenye Ujenzi nako sikuelewi elewi naona umerudi ila Sioni material wala ukiendeleza ujenzi
Ilianza unatoa elfu 15, ukaja elfu 5, sikuhizi naona huachi KABISA.
Hivi wee unahisi mi naishije hapa ndani? Au nimekua jini Mimi?"

Nikawa nimecheka nikamwambia
"kwani Maneno yote Ayo yanatoka wapi mpnz wang, wee sinilishakuachia Ela ya kula wiki 2? , leo wiki ya pili ndo imeanza unaniombaje Ela sasa?"

Akasema,
"Unaemchekea Nani,hapa utoki Lazima unaichie Ela..." Uku ananisachi.

Nikawa namtoa hatoki anaendelea kunikagua mifukoni, nikona uyu mpumbavu.
Nikamziba Kofi, akaiachia suruali yangu.

Nikamwambia,
"ukome na uwe na adabu unapokua unaongea na mm, tabia ya kunisachi Ni ya kimalaya na ife Mara Mona. Usije unarudia huo upuuzi Tena"

Basi nikaondoka zangu.
Sasa kesho yake Sina hili Wala Lile wakapitishwa samaki wazur Sana dukan kwangu.
Nikanunua mafungu mawili, moja likapelekwa kwangu jingine nikamtuma bodaboda wake ampeleke mchepuko kwake.

Basi baadae boda Akanambia kafikisha mzigo, ikabd Nimpigie kumjulisha achukue samak mmoja anichemshie supu jion ntapitia kunywa. Akawa hapokei.
Basi nikamtumia sms.

Ile jion nikapitia kwake kunywa supu yangu, Ila nafika nagonga akaja mlangon akasimama wima.

Akasema,
"Eeh baba wee, ishia uko. Ukitaka kuingia nyumba hii tekeleza nnayoyataka"

Nkamuuliza "yapi Ayo"
Akasema
" kwanza-uwe unanipa elfu 20 yakula kila siku
Pili- unimalizie ile nyumba ndani ya mwezi huu
Tatu- uweke zamu yakulala kwangu.
Huwez kutekeleza Ayo Basi ISHIA HAPO HAPO NJE"

Nkamwambia "sawa"

AkAuliza
"Iyo sawa maana ake Nini, afu ilo jibu lako silipendi linanikera Sana"

Nkamwambia ,
"Sawa maana ake siwez kutelekeza Ayo unayoyahitaji kwa Sasa"

Akasema "aya, ishia huko huko. Wako wanaume wengi sana Kama wewe wanaoweza kutimiza nnayoyahitaji"

Nkamwambia "sawa wakakutimizie Basi"

Akasema " akarud ndan na kufunga mlango wake"

Sasa,
Nikabaki pale nje nimeduwaa, maswali mengi kichwani. Kisha nikaenda zangu nyumbani.

Ni siku ya 5 Sasa karudi kwenye ule utaratibu wake w zamani wa kurusha vijembe status,

Naziona status zake kibao kila Mara, nabaki najiuliza.

[emoji117]Hivi uyu mwanamke ananichukuliaje kwanza?[emoji848]
[emoji117]Hivi anajiona special Sana eeh?[emoji848]
[emoji117]Hivi anajua kua hapo anapokaa Kodi anahamia nmelipia mm?[emoji848]
[emoji117]Hivi anajua Apo anapojimwambafai nishapita na mdg wake?[emoji848]
[emoji117]Hivi anajua kwamba Apo anapofanya kazi yupo kwa mgongo wangu mimi[emoji848]
[emoji117]Au nimuundie zengwe Tena ahangaike na Dunia ili akili imkae[emoji848]

Wakuu mnisaidieni
Je, NIMWAMBIE UKWELI AU NIMUACHE AENDEEE KUJIMWAMBAFAI[emoji848]

Mwisho
Ndefu sana mkuu lakini ingependeza kama ungeikusanya pamoja badala ya kuigawanyagawanya hivi? Lakini umetiririka vzr mtu anweza kudhani ni fiction.
 
Ndefu sana mkuu lakini ingependeza kama ungeikusanya pamoja badala ya kuigawanyagawanya hivi? Lakini umetiririka vzr mtu anweza kudhani ni fiction.
Niliandika ikiwa imekusanywa pamoja.

Ila ktk uwasilishaji hapa jf nikahofia kuiweka yote kwa pamoja Kama page moja.

Maana Kuna watu humu Ni wavivu sana kusomabpage ndefu,
wakishaiona ndefu Sana,basi wanaipotezea[emoji4]
 
ndg huyo mwanamke yupo after benefit tu siku akikaa vzr kimaisha hkn rangi utaacha kuona

pili kuwa makini kwa maelezo uliyoyaelezea naona kbs ipo siku anaweza kukuua kwa sumu kulipiza kisasi maana anajua kbs unamnyima makusudi

mwisho mpatie mtaji wa maana ili aendelee na maisha yke muachane kwa amani pasipo yeye manung'uniko yeyote ...khs dogo nitarudi kutoa mchango wng
Maneno ya busara Sana Aya mkuu[emoji120]
 
Mkuu achana na hiyo K kuna vimeo lkn chako daaah hatari....uyo atakuroga mkuu. Fika mwisho semq inatosha....
Kuna MDA huwa nasema uyu mwanamke angefanikiwa kidg kunishika akili yangu (kumpenda ile deep).

wallahi ningeshaitelekeza familia na kuhamia kwake.

Maana Kuna MDA anatoa amri unabaki unajiuliza, hivi uyu anajiamini Nini kutamka UPUUZ Kama huu[emoji848]
 
Aise kuna watu mna uvumilivu...

What is so special about her pussy?
Mkuu hate sijui niseme nn,
Ila uyu mwanamke Ni mtamu Sana.

Yaan Nashindwa hata nielezeeje hii hali, ila kiukweli sio wa kawaida yule.

She's fucking sweet, romantic,hot and sexy sijawai ona tangu nmeanza sexlife[emoji4]
 
Biashara yako nzuri sana. Inakupa muda wa kuandika gazeti hivi!
Wakuu mnisaidieni
Je, NIMWAMBIE UKWELI AU NIMUACHE AENDEEE KUJIMWAMBAFAI
emoji848.png


Mwisho
 
Kuna MDA huwa nasema uyu mwanamke angefanikiwa kidg kunishika akili yangu (kumpenda ile deep).

wallahi ningeshaitelekeza familia na kuhamia kwake.

Maana Kuna MDA anatoa amri unabaki unajiuliza, hivi uyu anajiamini Nini kutamka UPUUZ Kama huu[emoji848]
Sasa mkuu tukupe ushauri gani basi tusubiri yakukute...ila huyo hana mapenzi nawe ndio maana ana uwezo wa kukuacha!! Ila huduma za kifedha ndio zinamuweka kwako na uvumilivu wako lkn hana adabu kabisa. Siku akipata pesa anakumwaga mazima....! Wewe uko kwake kwa ajiri ya mbunye tu...!! Lkn sasa unakwama mwamba.!! Daaah mizingulizinya demu its too much.
 
Sasa mkuu tukupe ushauri gani basi tusubiri yakukute...ila huyo hana mapenzi nawe ndio maana ana uwezo wa kukuacha!! Ila huduma za kifedha ndio zinamuweka kwako na uvumilivu wako lkn hana adabu kabisa. Siku akipata pesa anakumwaga mazima....! Wewe uko kwake kwa ajiri ya mbunye tu...!! Lkn sasa unakwama mwamba.!! Daaah mizingulizinya demu its too much.
Akili yang ishajitune tayar kua uyu Tunafanyaje iyo PUSSY to MONEY Exchange.

Hata yeye sometimes huwa namwambia live akiniletea zile za tanga kunipetipeti Sana na kujiliza UONGO anipenda sana,

Namwambiaga kabisa
"Wee mwanamke unatamaa Sana, afu mbinafsi Sana.
Najua tu akipatikana mwenye kidau zaidi Lazima utanipiga chini, Am always ready for that, for good"
Kwaiyo sinaga presha.

Kwaiyo hata nnavojitoa kwake sio kwamba Ni kwasababu nampenda sana au nahitaji yeye aoneshe kunipenda Sana.

Bali
Ni ile care ya kawaida ili kurahisisha na kuboresha huduma anayonipa.

Binafs siwez kuudanganya Moyo wangu eti nampenda au ntathubutu kumpenda.
Mapenz yangu yako trully kwa wife wangu, ila sex iko trully kwa uyo mchepuko.

Sijui Ni tatzo la peke angu au lah!
Ila kiukweli hivi vitu kwangu imeshindikana kabisa kuvichanganya kapu moja mkuu
 
Nafikiria kuleta kisa changu na mimi kinataka kufanana na hiki kwa kiasi fulani ila daah napitia magumu mnooo na mambo haya haya
 
Unajua uyu mwanamke hata simpendi kivile Kama nnavompenda wife wang, ndo maana akizingua Namimi namzingua vile vile.

Sema kwenye suala la sex nmeshindwa kabisa kumpata mbadala wake.

She's very special in this area.
Sijui hata nielezeje niweze eleweka mkuu.

Kuna MDA namzingua kwelikweli na nasema apa tunaachana, ila nnapokua na nyege mtu wa kwanza kumuwazia Ni yeye.

Ndo maana Kuna MDA kweli naona napoteza Sana pesa&muda sn kwake,

ila akili inanambia nichukulie POA TU maana sijapata bado mbadala wake.
Ila Akipatikana mi napiga chini fasta.

Ngoja niendelee kukimbizana na uyu uyu msumbufu wangu mkuu, tutanyooshana hivo hivo mpk kitakapoeleweka uko mbele ya Safar.
Huyo demu ni kichaa.

Atakuja kukuharibia hutaamini.
 
Back
Top Bottom