Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Huwa Sina kinyaa Sana sana,ila uyu mwenzangu yeye kapitiliza.

Na hapo hajanywa wine kidg, siku akinywa mnaweza kua kwny folen akafunga tinted afu akawa anakunyonya barabaran.

Kuna siku almanusra nisababishe ajali tunatokea coco. Niliacha kabisa mchezo huo wkt nko barabaran.[emoji4]
Hii ni balaa tena hatari sana mwamba acha mambo hayo. Huku ni kuchezea shilingi chooni ( uhai)
 
Mi mwnyw za kwangu nazionea kinyaa kuzimeza,naishia kuzitaste TU.

Ila Yeye anameza, Afu Anatabasamu kana kwamba ndo anaenjoy kabisa[emoji4]
Ni mzoefu sana wa hayo mambo na kapitia mwingi sio rahisi asiye jua hayo kwa undani kufanya hayo, ila starehe yake anakuhamisha kwenye ndoa yako, angalia usije umbuka mchana kweupe [emoji23][emoji23]
 
Kaahh;anajiweza mnoo!Mimi huyu mume Yuko ndaani!hata tukiwa na ugomvi aseehh!vikojolea havihusiani!ubusy kwiooo!!!ndo tunafeli hapo wanawake sasa!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Sasa uwe na Mme mwenye kujielewa lakini watoto wa mama wanajua kununa hao ukute ana midevu kama mizizi ya bangi halafu kanuna [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] {utazani bangi yenyewe naijua}.
 
Back
Top Bottom