Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimedhangaa sana na kwa kifupi ..huyo ni kama mke wa pili tu..na haitakuja kuachana nae kirahisi hata ikitokea akaolewa still mtanyanduana tuHa ha ha.....
Ni kitu kigen Sana kwako?[emoji4]
Mzee changamoto za mahisiano tushazipitia sana as a matter of fact wengi tunapitia haya unayoyapitia ila tu tunashindwa kuyaweka wazi . Nakiri kuna wanawake wameumbwa na utamu na ni mafundi...ni wachache sana wamejaaliwa hili na huwezi kulijua hili kama hujazungukazunguka hapa ulimwenguni.Wee jamaa uko smart Sana,
umeusoma vizur Uzi na kuuelewa point to point.
Jf imebarikiwa Watu smart Sana, melo aishi miaka mingi Sana[emoji4]
Hizo tamaa zako kama za fisi siyo kila mtu anazo.Labda uwe na changamoto[emoji4]
Sahii KABISA,Mzee changamoto za mahisiano tushazipitia sana as a matter of fact wengi tunapitia haya unayoyapitia ila tu tunashindwa kuyaweka wazi . Nakiri kuna wanawake wameumbwa na utamu na ni mafundi...ni wachache sana wamejaaliwa hili na huwezi kulijua hili kama hujazungukazunguka hapa ulimwenguni.
Kwa mazingira hayo tu huyo ameshaingia kwenye damu yako hivo kumtoa inahitaji maombiHa ha ha.....
Ni kitu kigen Sana kwako?[emoji4]
Sio dhaifu Kama unavonifikiria,Unazingua mzeee...Unang'ang'ania mchepuko kama kupe ndio maana unakudharau na kukuona fala hata hizo movie za kunywa sumu ilikua maigizo tu.Wanaume hatutakiwi kuwa wadhaifu kama wewe asee[emoji706]
Wenye akili finyu wenzako ndio wanakuelewa.Ndo maana bado nasistiza, labda Kama una changamoto
Huyo huwezi achana nae nakwambia trust me..mtagombana mtaachana utapata micheps wengine Siku siku mnakumbukana mnakumbushia ivoivo! Shortly Huyo niwako in mchepuko lifestailiTena makubwa Sana dada angu
Dada angu mahondaw@cocatic Naomba samari sijasoma yote