Sanaa! Mh nyie ni kama mke na mme tu in vurugumechi style!
nkusimulie kisa kingine Sasa[emoji4],
Kuna kipind alipata msiba kwao mkoani.
akaomba kampan nikamsindikize kwao mkoani.
Nkamwabia wee tangulia mi ntakuja uko siku ya kuzika afu nirud siku Iyo iyo.ratiba yangu inanibana Sana. Akasema sawa
Basi akatangulia,
Siku 5 mbele ndo ikawa siku ya kuzika nikapanga trip nikenda uko msiban kijijini kwao kabisa.
Wakazika wakamaliza pale pale shamban (zile nyumba zinazungukwa na mashamba katikati)
Basi nkaona ebu nizuge zuge nije niondoke usiku usiku kukwepa tochi. Basi nikaa pale msiban mpk kwny mida ya saa 2 usiku.
Mwenzangu Akanambia
"Mwenzio nna nyege balaa hapa, niinamishe apa ukutani unipige japo kimoja"
Nkamwambia
"acha Ujinga ww, tukikutwa hapa tutaonekana wa ovyo"
Akasema, "Basi tusogee kule kwenye kigiza Giza Basi upande ule wenye chuguu kubwa unifanye kimoja"
Nkasema "sawa"
Basi tukaenda, tukawa Tunafanya. Bas kumbe sijui Kuna mijitu uko ilituona Basi tukakurupushwa speed kila mtu akakimbia kivyake.
Nmefika kwenye gari nkaanza kujilaumu sn kwa Ujinga ule, wkt gari ilkuepo na tungeweza kufanya mle mle ndani ya gar bila bughudha.
Basi nikaona haina haja tena ya kurud uko msiban NISHAHARIBU ishakua aibu hii, ikabidi nipitilize uko uko nisepe zangu.
Baadae akaja nambia wale jamaa walimsema Sana kwenye kikao Cha familia ila alikana katakata kua hakua yeye na yule hakua Mimi kabisa[emoji4]