Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Kuna siku alishawai jichanganya siku moja Akanambia anamimba yangu.

Nikamuuliza umepima, akasema "ndio"
Nikamwambia "sawa"
(Taarifa ya kupima na kukutwa na mimba alinipa tarehe 28)

Basi Akafurahi uyo na roho yake, Kama wiki hiivi mbele namhudumia anajidekeza Kama mwenye mimba.

Baadae nilivotafakari vizur khs mzunguko wake nikajua kabisa hii Ni kamba.

Maana
Siku namwaga ndani alikua anasiku 2 TU tangu katoka bleed,
(aliingia blidi tarehe 6, akamalizaTarehe 10, afu tukasex tarehe 13 nikamwaga ndani)

Kwaiyo Hakuna namna pale angepata mimba.

Otherwise ni mimba ya mwingine nataka kubebeshwa mimi.

Nikamuita nikamchana live.
Kwamba hakuna namna kwa mzunguko ule awe na mimba yangu, otherwise amtafute baba mwingine alomwagia ndan.

Akajitetea serious kweli kua Ni mimba yangu. Na dalili zote anajihisi.

Nikaagiza kipimo pale pale, nkagundua Hana mimba. NEGATIVE iliyokolea kabisa.

Akajitetea kua alijihisi dalili za mimba maana manyonyo yalivimba, afu uchovu,kutapika na usingz Sana.

Nkamwambia
"kwann Sasa ulindanganya ushapima"

Akajitetea kua dalili zote zilishaonekana tangu kabla.

Nkamwambia,
ACHA UPUUZIN WAKO WEWE, Am far smarter than your[emoji4]
Ila brother hujawahi kuwaza kuwa itafika wakati au umefika wakati wa huyo mwanamke kupata mtoto...sijajua ana age gani ila inaonesha kuwa yupo ktk umri ambao anatamani awe atleast na mtoto and you are not ready for that. Huoni kuwa ipo siku atatoka kwenda kuitafuta mimba kilazima ambayo utakuja kubebeshwa wewe mzigo?
 
Ngoja nkumegee Siri nyingine Sasa,

kipind tumeanza mahusiano nlimkuta kwenye mahusiano mengine na jamaa mmoja ila yeye nilipomuuliza akakana Hana mahusiano nae. Nikaheshimu Maneno yake
(may be ni rumors TU za mitaani)

Bas akawa ananificha ficha Sana ila baadae nikajua anakutana na jamaa kisirisiri ule MDA nnapokua kazin.

One-day nikaja nikamfumania kwake nilikompangishia na jamaa kavaa vest tupu kamlalia kwenye Kochi,
Jamaa alikua hanijui, Basi nikajifanya nmekuja kuomba maji ya kunywa.
Jamaa akamwambia mpelekee mgeni maji ya kunywa. Mwanamke anavibrate balaa.
Nikanywa maji nikaondoka zangu.

Baada ya masaa 2 akanitafuta, nikamuuliza
"Vipi mmeshamaliza?"

Akajitetea kua anaomba kuongea na mm live, niende kwake
Mwanzoni nikakataa, ila baadae jamaa angu mmoja akanishaur yanini kumuwekea wivu mwanamke wa nje asiye mke wako.
Uyo mwanamke Ni Malaya,uyo ishi Naye hivo hivo kimalaya. Na wee nenda kapige mzigo.
Jali haja zako TU mengine Achana nayo.
NIKAAFIKI WAZO LAKE.

Nilipofika akanifata kimahaba, namimi nikarespond kimahaba vile vile afu tukasex.
Katikati ya sex akawa ananiomba msamaha, kua mwanzon alinificha ila alkua na mahusiano nae kweli. Alihofia ntakatisha mahusiano na alishanipenda tayar.
nikamwambia nishakusamehe tayar potezea TU Ila jirekebishe. Tuendelee kusex.
Basi tukasex mpk tukamaliza.

Baada ya kamaliza nikamuweka kitako chini kumwelezea fact.
Kua "wee nishakuchukulia Ni mwanamke Malaya, ndomaana nmekufumania na bado nmepata ujasili wa kuzamisha mule mule alikotoka kuzamisha Mwanaume mwenzangu siku Iyo iyo. Ningekua nakupenda hata nisingekuja na hisia na wewe."

" Kwaiyo kuanzia leo ntaishi na wewe hivo hivo, Ukitaka nikuchukulie serious,nakupa mwezi mmoja, malizana na Watu wako hao. Kisha utanambia. Ukinidanganya ntajua afu ntakupiga chini mazima"

Basi wakaachana kabisa na yule jamaa, gafla nikaona jamaa Kama ananinunia ila Hana lolote la kunifanya maana hanijui na hakua na maZoea na Mimi[emoji4]
Kiuhalisia ni kuwa hawajaachana ila mnapangiwa zamu tu ya kupiga...wewe ukipiga usiku mwenzako anasanua mchana..Hainaga makombo wanadai.

Hawara huwa haachwi ila anapumzishwa tu na ukimuhitaji muda wowote anakuja unamaliza shughuli
 
daah .. kuna jambo nimejifunza hapa.. kuna namna umeelimisha mkuu..
 
Umegundua nn kwa Watu wazima mkuu[emoji4]
Cha kwanza kilichonifanya niwapende hawa watu wazima,hakuna maswala ya mimba namwagia ndani kama kenya.

Pili hawana michepuko,kuna asilimia kubwa za mbususu kuimega mimi tu.

Tatu,mbususu zao ni tight yaan ni full utamu,tena kwasasa nko na anaejua mambo nakwambia nabebwa juu juu

Nne,hawana tamaa hawa wamama,wamelizika na maisha yao,hawawaz nyumba,sjui magar,n.k
 
Sema nini, we mwanangu una hela sana.Nimegundua mimi decent kwakua sina hela tu 😂😂
 
nkusimulie kisa kingine Sasa[emoji4],
Kuna kipind alipata msiba kwao mkoani.

akaomba kampan nikamsindikize kwao mkoani.
Nkamwabia wee tangulia mi ntakuja uko siku ya kuzika afu nirud siku Iyo iyo.ratiba yangu inanibana Sana. Akasema sawa

Basi akatangulia,
Siku 5 mbele ndo ikawa siku ya kuzika nikapanga trip nikenda uko msiban kijijini kwao kabisa.

Wakazika wakamaliza pale pale shamban (zile nyumba zinazungukwa na mashamba katikati)
Basi nkaona ebu nizuge zuge nije niondoke usiku usiku kukwepa tochi. Basi nikaa pale msiban mpk kwny mida ya saa 2 usiku.

Mwenzangu Akanambia
"Mwenzio nna nyege balaa hapa, niinamishe apa ukutani unipige japo kimoja"

Nkamwambia
"acha Ujinga ww, tukikutwa hapa tutaonekana wa ovyo"

Akasema, "Basi tusogee kule kwenye kigiza Giza Basi upande ule wenye chuguu kubwa unifanye kimoja"

Nkasema "sawa"

Basi tukaenda, tukawa Tunafanya. Bas kumbe sijui Kuna mijitu uko ilituona Basi tukakurupushwa speed kila mtu akakimbia kivyake.

Nmefika kwenye gari nkaanza kujilaumu sn kwa Ujinga ule, wkt gari ilkuepo na tungeweza kufanya mle mle ndani ya gar bila bughudha.

Basi nikaona haina haja tena ya kurud uko msiban NISHAHARIBU ishakua aibu hii, ikabidi nipitilize uko uko nisepe zangu.

Baadae akaja nambia wale jamaa walimsema Sana kwenye kikao Cha familia ila alikana katakata kua hakua yeye na yule hakua Mimi kabisa[emoji4]
Kak nitajie kabila la huyu mwanmke asijekuwa muiraq mnk ndugu [emoji3][emoji3]
 
Ukweli unaujua ila jeuri ya kipato na ulevi wa kuatamia Mbunyende Mbunyende ndio tatizo, usisahau mchongo wako na meneja wa shell umeishaje na mgao ulikuwaje? Chief Nanga and Chief Koko in the making.
Mchongo upi,
yule mwanamke alirudi KAZIni, anafanya kazi pale sheli mpaka leo.

Mgao Ni kwamba wale vijana walichukua laki 5, laki 1 ilkua ya gharama ya kukodi pikpik pamoja na mafuta.
Afande alikula laki 2 pamoja na ile elfu 50 nlompoza siku inalipwa laki 5

So ilitumika laki 8.5 TU.

Mwenye sheli hakuhusika kwny mgao maana Ela zilikua za kwake, zikamrudia mwenyewe. Afu Ni mshkaji wangu

Sema TU nlipata hasara ya 2.35mil
Maana Lile Deni la laki5 ilobaki kwenye milion nlotoa nilisamehe,
afu ile milioni ilobaki kwenye mil 2.5 hakukatwa Tena kwenye mshahara wake.

Kwaiyo ukijumlisha na ile laki 8 ya wale vijana+pikipiki+polisi, kimahesabu inakuja JUMLA 2.35mil
 
Kak nitajie kabila la huyu mwanmke asijekuwa muiraq mnk ndugu [emoji3][emoji3]
Ha ha ah.....
Sio vizur bhana kutaja makabila,

ntaleta ukabila humu, mtazinguana na watani zenu.

Kisha Uzi wetu utapoteza maana[emoji4]
 
Cha kwanza kilichonifanya niwapende hawa watu wazima,hakuna maswala ya mimba namwagia ndani kama kenya.

Pili hawana michepuko,kuna asilimia kubwa za mbususu kuimega mimi tu.

Tatu,mbususu zao ni tight yaan ni full utamu,tena kwasasa nko na anaejua mambo nakwambia nabebwa juu juu

Nne,hawana tamaa hawa wamama,wamelizika na maisha yao,hawawaz nyumba,sjui magar,n.k
Ha ha ha....
Mi mda wa kutulia na wazee bado.

Bado nahitaji kitu inayochemka, inayofuka utamu.

Ule utamu halisia
 
Kiuhalisia ni kuwa hawajaachana ila mnapangiwa zamu tu ya kupiga...wewe ukipiga usiku mwenzako anasanua mchana..Hainaga makombo wanadai.

Hawara huwa haachwi ila anapumzishwa tu na ukimuhitaji muda wowote anakuja unamaliza shughuli
Mi hata sijali,
nnachoangalia kwangu anitimizie haha zangu.

Uko kwingine atajijua mwenyewe, Cha muhimu asigonganishe magari[emoji4]
 
Sema nini, we mwanangu una hela sana.Nimegundua mimi decent kwakua sina hela tu [emoji23][emoji23]
Hata hamna mkuu,
Sema Ni vile TU unaamua kujitoa kwa mtu unayemfeel[emoji4]
 
Ila brother hujawahi kuwaza kuwa itafika wakati au umefika wakati wa huyo mwanamke kupata mtoto...sijajua ana age gani ila inaonesha kuwa yupo ktk umri ambao anatamani awe atleast na mtoto and you are not ready for that. Huoni kuwa ipo siku atatoka kwenda kuitafuta mimba kilazima ambayo utakuja kubebeshwa wewe mzigo?
kwasasa Sifikirii ata kuzaa nae,
Ila nafikiria kua huu upuuz wake anaufanya coz anajua umri wake bado mdg (SLAY QUEEN).

Kuna akili inanambia uyu akijafikisha kuanzia 30+ akili itamkaa ataanza kufocus Zaid future yake, ambapo obvious atabadilika TU .

Kwaiyo naenda na hivo hivo mdg mdg, siku akibadilika ntafikiria Zaid nizae nae au nimuache aendelee na maisha mengine.

Ila nnavomuona uyu sio leo Wala kesho,

TUZIDI KUOMBA MUNGU mkuu[emoji4]
 
Nimekuelewa uko brave Sana pia Hakuna sehemu yoyote uliyotaja kuwa mwanamke ulimfi...ra au anapenda mambo hayo na wew inaonesha wew siyo mfuazi wa maswal hayo

Chukua tahadhari mkuu utelezi huu unamwisho wake
 
Hakuna mfanya biashara Mwenye sheli au manager anaweza Fanya huu upuuzi sababu ya mapenzi ya kijinga na kishenzy Kama Haya!
Unachokibisha hakina hata mashiko,

hivi wee biashara ya sheli unaona Ni kitu kikubwa na cha ajabu Sana eeh?[emoji4]
 
Nimekuelewa uko brave Sana pia Hakuna sehemu yoyote uliyotaja kuwa mwanamke ulimfi...ra au anapenda mambo hayo na wew inaonesha wew siyo mfuazi wa maswal hayo

Chukua tahadhari mkuu utelezi huu unamwisho wake
Hicho chama nilishastaafu mkuu,papuchi ya uyu pasua kichwa wangu inantosha kabisa [emoji4][emoji120]
 
Unajua uyu mwanamke hata simpendi kivile Kama nnavompenda wife wang, ndo maana akizingua Namimi namzingua vile vile.

Sema kwenye suala la sex nmeshindwa kabisa kumpata mbadala wake.

She's very special in this area.
Sijui hata nielezeje niweze eleweka mkuu.

Kuna MDA namzingua kwelikweli na nasema apa tunaachana, ila nnapokua na nyege mtu wa kwanza kumuwazia Ni yeye.

Ndo maana Kuna MDA kweli naona napoteza Sana pesa&muda sn kwake,

ila akili inanambia nichukulie POA TU maana sijapata bado mbadala wake.
Ila Akipatikana mi napiga chini fasta.

Ngoja niendelee kukimbizana na uyu uyu msumbufu wangu mkuu, tutanyooshana hivo hivo mpk kitakapoeleweka uko mbele ya Safar.
Mzee mwenzangu mpaka leo bado una akili za nyege? [emoji23]
 
Nipo ktk ndoa for years, najua jinsi wanawake wanavyobweteka hasa wakishazaa... Mbaya zaidi ukute ulikuwa na mchepuko kabla hujamuoa na ukute mtoto mwenyewe alikuwa akikukonga nyoyo ila kutokana kuwa siyo wife material ukaamua kumuoa mwanamke uliyenae... Hapa kwenye ndoa lazima urudi tu kwa mchepuko wako...unakuta mtoto unapiga hadi vinne na bado hakwambii kuwa kachoka ,ana enjoy sex,...ana high libido, mtamu na mahaba anayajua..aisee hapo lazima urudi tu

Very matured comment[emoji4]
Aisee wee jamaa unawajulia vizur sn wakinamama[emoji4]
 
Back
Top Bottom