Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Jamaa anaonesha weakness kubwa sana kwa mchepuko..kwamba hajiwezi bila mchepuko.
Mchepuko anajua udhaifu wa jamaa so anautumia effectively bibie mapenzi anayajua kwanza ile anakula kamkalia mapajani ni bonge la ujanja!Dada anajua kutega!kuna wanawake mafundi balaaa!yaani unaomba poo!!na hana aibu hata kidogo anajua kutumia vzr uanamke wake kwa huyo kaka!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
DeepPond:

Mchepuko kwa sasa inatosha mkuu,ulichokuwa unakitafuta kwa umekipata hakuna chochote zaidi ya ya yeye kuwa na tamaa. Ila Mungu amekubariki sana kwa kukupa mke mwema lakini pia bidii na utajiri ni baraka tosha kutoka kwa Mungu.

Kama kuna kitu kinawarudisha nyuma wanaume wengi Duniani ni masuala ya uzinzi. Jenga familia yako na dogo wa chuo msaidie ila usiache. Na imani kwa kufanya hayo utafanikiwa zaidi ya hapo ulipo mkuu. Mungu akubariki sana🙏
 
Leo sijasoma yote.

Nimekuja tu kukuharibia mood nikuambie huyo Dada ameshakusoma unampenda sana.

Utakuja kuachawa vibaya sana kenge wewe.

🤭🤭🤭🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️
 
Jamaa ni msukule kabisa kwa huyo maraya carey
Jamaa bado anampenda na ndo maana ht hapa anataman wote tumwambie vumilia hiyo chombo endelea kujitafunia!! Ila ukweli jamaa kajichanganya na hawez kuelewa Leo Hata apigiwe kelele masikion! Huyo ni mpk atakapo ona mwenyew na kukubal kutoka ndan yake kwamba ss bac na huyo bibie.. Iwe baada ya kufikwa na jambo fuln au vyovyote vle itakavyokuwa!!

Ila jmn wanaume nyie sijui huwa mnatuchukuliaj wanawake... Yaan rafiki zake jamaa hao wafanya biashara wenzie wanajua yote anayo Fanya ma kimada na huku naiman mke wa jamaa akienda offcn wanamchekea shangwe kama lote!! Aseee me ndo maana spendi kushibokewa na wanajiita mashemeji sijui marafk wa mtu wangu coz huwa naonaga unafki mtupu!!!! Iwe mtu wangu anafanya yke me najua au lah! Stki mazoea na mashemeji me!!!
 
Leo sijasoma yote.

Nimekuja tu kukuharibia mood nikuambie huyo Dada ameshakusoma unampenda sana.

Utakuja kuachawa vibaya sana kenge wewe.

[emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2090][emoji2090][emoji2090][emoji2090]
Ungesoma yote ndo ungejua kua sisi Kuachana ni ngumu sana.

Afu kingine hata mumloge hata akitaka kuniacha Sitataka mimi. labda aniue[emoji4]
 
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]nyau weee!nafua uniforms Leo kajua kametoka!!
Mimi babes yuko mbaali napambana na hali zangu tu!!![emoji28][emoji28][emoji38][emoji38]

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Ha ha ha....pole Sana aisee.
Salamu zangu za pole za upweke zikufikie popote pale ulipo, roho ya uvumilivu ikujae [emoji3]
 
Back
Top Bottom