Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Hakuna anaekuja full package.

Na ndo maana hata Mrs hayupo complete. Anaweza kuwa wife material but zile ladha unazotafuta nje hana.

Be a man about it. Nyie ndo wanaume bana mnaweza sana kuturekebisha mkiamua kusimama katika uanaume wenu.

Hujaona some women with questionable characters wanaolewa na kutulia kwenye ndoa? Its because wanaume wao walisimama imara.

Do it.
Bestyyyy unajua kwanini mimi nakukubali sana??

Wewe mtu ni uko njema sana upstairs! That's ol.
 
Sina aibu hataaa, hoja yangu ni kuchapana masaa sita, hizo nguvu nazitoa wapi na umri huu[emoji23] huyu mwamba amepewa nguvu sio poa!
Huo mziki ni auto..yani inakuwa mnafeeliana sana to the extent kwamba mnakuwa kama vichaa flan hivi amazing
Yani inakuwa bandika bandua ambayo wala hamjaipanga ila kwa kuwa bas hisia zenu ziko juu kwa kila mmoja kuna ham flan isiyokatika.
Naongea kwa uzoefu japo mtasema ni uongo...mmoja wa wanaume nliwapenda sana ashawahi kukojoa bao sita kwa round moja iliyoungwa juu kwa juu. But huyu jamaa kingono hisia zetu zilikutana. Hadi kazini alikuwa anatoroka anasafiri umbali mreeefuuu kunifwata utasema kalogwa. Kimbeee
 
Nina mume wa mtu tunapanga tutoke out ... hapa naongezea ongezea nondo...hadi mwisho wa mwezi ntakuwa full nondo.
Msiniulize kuhusu uncle (nimemchunia kiaina... nataka kujua kama naweza kumuacha au vp...sema akipiga tu najikuta nasahau yote naelekea kibra)
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]uende ukaanze na mama J mtu mbadi hukooo!beba Silaha zote za kivita muraaaaaaaaa

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
@Glenn huyo ni kaka binam kabisaaaa
Halafu ndo umekausha kau kau ?[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]haya bwana
Shida yako unataka mchele umwagwe hadharani mkuu.
Nitembelee tumalize kesi yako basi
 
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]uende ukaanze na mama J mtu mbadi hukooo!beba Silaha zote za kivita muraaaaaaaaa

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Mama J hahaha nishamchora akilini ujue. Lazima niombe japo namba anipe mautundu. Ila ya kunywa mbegu (alijisemea aron) hapana asee..

Imagine mume wa mtu ila anapanga mtoko wa kulala siku 3 nje. Mungu wahurumie hawa wanaume maana mhh
 
Huo mziki ni auto..yani inakuwa mnafeeliana sana to the extent kwamba mnakuwa kama vichaa flan hivi amazing
Yani inakuwa bandika bandua ambayo wala hamjaipanga ila kwa kuwa bas hisia zenu ziko juu kwa kila mmoja kuna ham flan isiyokatika.
Naongea kwa uzoefu japo mtasema ni uongo...mmoja wa wanaume nliwapenda sana ashawahi kukojoa bao sita kwa round moja iliyoungwa juu kwa juu. But huyu jamaa kingono hisia zetu zilikutana. Hadi kazini alikuwa anatoroka anasafiri umbali mreeefuuu kunifwata utasema kalogwa. Kimbeee

Mmh, basi watu mko vizuri. Six ejaculations kwa mara moja, wooi..akitoka hapo kesho hawezi kazi zake!
 
Kuna coloration kati ya uzuri wa kitandani na ukosefu wa akili ????

Nimeona hii inajadiliwa sana. Mara nyingi wanawake ambao wako vizuri upstairs wanakuwa sio wazuri sana on bed.

Hebu tufungueni akili hapa
Kwa maelezo ya DP ni kwamba mcheps wake yeye ilimradi tu uache hela mezani atakupa mbususu hadi uombe poo, ila usipoacha matumizi mbususu hupati na vichambo juu

Imagine mtu umesoma na una kipato chako cha kukutosheleza au hata una uwezo wa kujitegemea na kujisimamia katika mahitaji muhimu, unaweza kuingia kwa mahusiano na mume wa mtu bila kuangalia future ipo wapi? Sikatai kwamba kuna walioolewa na wapo kwenye mahusiano ya nje ila ni kwa ajili ya kujifurahisha na sio kuhudumiwa

Huyo mchepuko kwa sasa angetakiwa awe na maisha yake ya kujitegemea, i mean aweze kujisimamia, awe na mahusiano ambayo yana future ikiwezekana hata familia, ila shida ni kwamba anamtegemea DP kuanzia kula, kuvaa na kodi, na hatumii hata akili afungue japo hata biashara ndogo itakayomwezesha kujisimamia, na hata akifungua badi inafeli

Kwa mimi naona kama ni mtumwa wa ngono kwa DP kwa sababu kuna huduma anazipata, siku zikikatika atatafuta mwingine wa kumpatia hizo huduma...na utakua mfumo wake wa maisha

DP kama kweli anampenda huyo mwanamke, lazima amweleze ukweli kwamba anatakiwa kufocus kwenye future na aweze kujisimamia, pia aangalie namna ya kumwezesha kujitegemea na kufocus kwenye future yake kwa sababu mwisho wa siku yeye atarudi kwa mkewe na watoto na by then atakua ameshampotezea muda mwingi sana huyo binti na pengine atafika umri ambao hakuna anaetaka kumuoa kwa sababu ya umri mkubwa au sababu nyingine

Back to your point, sina scientific proof kwamba wenye akili sio wazuri kitandani..kuna wasio na akili na kitandani ni magogo kabisa, suala la mapenzi ni mawasiliano na maelewano kati ya couples, kila mmoja awe mwazi kwa mwenzie na kufundishana ili muweze kufurahia, unapoona mwenzio kuna jambo hakufanyii na unapenda kufanyiwa ni bora kumweleza na sio kukaa kimya na kutafuta mchepuko wa kukufanyia
 
Back
Top Bottom