Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Tena Vita ya dunia,
Kuna ile nilikabwa nikawa kama pumz inataka kukata[emoji4]
Mwemwambia mtu aliwah kojoa 6 kwa round za juu kwa juu bila kutoa anashangaa..
Ukitaka kutoa anapiga yoweeeee
Dahh ila mfamasia wangu popote ulipo wewe ni mtaaaaaaaaaamu
Najua huwa unapita hapa na ukiunganisha matukio utanijua tu.
Mkeo Ana bahati sana.
Najuta I sku kukudindia ulipotaka mzigoo mwaka jana...
Najua ipo siku tutakumbushia tuu...usiogope utamu wangu ni ule ule..[emoji119][emoji119]
Ngoja njipange.
 
Sema tu majasmine ana akili fupi, angekua mtu mwenye upeo tayaei alishagundua kwamba unamtumia tu kujiridhisha kingono lakini hakuna future wala malengo zaidi ya kubinuka

Bad enough basi yeye hata hatumii akili akatafuta kitu cha kujisimamia, ameridhika na 10,000 unazomwachia

Sema wanawake tumetofautiana sana akiki aisee
Sahivi anafanya kazi petrol station[emoji4]
 
Mkuu maombi yako yashindwe, simtaki wa hivyo...sitaki stress mimi.
Nnachotaka Ni tumalize huu ubishi na wewe urudi nyuma unambie
"Kaka DeepPond nmekosa Mimi,
Jaman nmekosa Sana,
Mungu wangu nisamehewe Mimi"[emoji4]

Kama ndugai vile[emoji12]
 
Hakuna anaekuja full package.

Na ndo maana hata Mrs hayupo complete. Anaweza kuwa wife material but zile ladha unazotafuta nje hana.

Be a man about it. Nyie ndo wanaume bana mnaweza sana kuturekebisha mkiamua kusimama katika uanaume wenu.

Hujaona some women with questionable characters wanaolewa na kutulia kwenye ndoa? Its because wanaume wao walisimama imara.

Do it.
Tabia inarekebishika, ila maumbile hayarekebishiki.

Sijui umenielewa au niongeze saut Tena?[emoji4]
 
Me mshenzi kweli kweli rey wangu
Halafu sku hizi najitamkia tu mambo ya ngono maana hata mtaani naweza ongeleshwa kitu halafu nkajikuta nimetokwa na neno bila kuficha kabisaa.....sjui ni genye au??mhh hebu nibadilikeee
Unapaswa uombewe, sio kea kiraru raru icho binam yangu[emoji4]
 
Back
Top Bottom