Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Angejua Ni umechoshwa na msomalia kufia kwenye fiat,,,

Kuna shosti yangu nimebinuka kumuonyesha hiyo style amecheeeka eti hiyo mnaweza nyie msio na vitambi[emoji23][emoji23]
Kitambi ndo ile ERoni anasema eti mtakuja fumuana utumbo bure[emoji1787]
 
Kwa leo hapana, nna mood nyngn kabisa afu nmechoka mno.
Nsije nkamjaeibu nae akanikamia nkafia kifuani bure. Maybe kesho na kuendelea[emoji4]
Kwani nilimaanisha iwe Leo weee naye
Hujanisoma vizuri ..uwe unamkumbusha kumbusha ... maana yake sio ishu ya Leo
 
Mwenzangu wako shindanoni sema hawapendii ni mood inakuwa juu halafu wameivana sana
alijisemea reymage eti ikizidi dakika 15 tu anauliza kama anadaiwa auu
Honestly mi dk 15 ni mpapaso ngoma inagonga 45-90 hapo ndo naona nime doo,, DP namuelewa anachopitia demu hampendi ila ndo anammudu uwanjani hivyo anafanya km kibanda cha kujikingi mvua tu akipata wa kummudu km huyo,,, anampiga chini asbh tu
 
Kwani nilimaanisha iwe Leo weee naye
Hujanisoma vizuri ..uwe unamkumbusha kumbusha ... maana yake sio ishu ya Leo
Kukumbushia muhimu Sana,
mafisi nao wengi mno mtaani. Hawachelewi kunisaidia majukum[emoji4]
 
Honestly mi dk 15 ni mpapaso ngoma inagonga 45-90 hapo ndo naona nime doo,, DP namuelewa anachopitia demu hampendi ila ndo anammudu uwanjani hivyo anafanya km kibanda cha kujikingi mvua tu akipata wa kummudu km huyo,,, anampiga chini asbh tu
Asee inauzi ww unajipanga kujiachia halafu kamoja tuu mtu ashalala yoo natamani nimng'ate
 
Honestly mi dk 15 ni mpapaso ngoma inagonga 45-90 hapo ndo naona nime doo,, DP namuelewa anachopitia demu hampendi ila ndo anammudu uwanjani hivyo anafanya km kibanda cha kujikingi mvua tu akipata wa kummudu km huyo,,, anampiga chini asbh tu
Una akili mingi Sana ujue wewe[emoji3]
IMG_20220105_185350.jpg
 
Back
Top Bottom