Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Yawezekana umri na majukumu mengi japo wapo wenye umri wa utu uzima km DP lkn wako njema niliwahi kukutana na mbaba alikuwa 47 wakati ule aaah ndo aliyenifundisha kuhimili mbio ndefu
Yeah kuna mzee nadhan atakuwa anakaribia 70 (mstaafu) asee Ana mbio hatari mpaka nkamuuliza haya umejul8a wapiii mbona umri na ulivyo tofauti
 
Ila nae akili hana tu mi huwezi kunichakazia chiu yangu hivyo halafu nikafanywa mchep wa kudumu,,
 
Kuna watu wanashikwa masikio hapa ili waingie king...
Afu ungejua mimi siko kiivyo unavonifikiria,

Mi Sina haja ya mwanamke,
ningekua wa hivyo miaka yote Niko humu jf ningewashatongoza sana tu.

Honestly sijawahi tongoza hata mmojawapo humu.
(kama yupo ajitokeze hadharan hata saivi)

Japo KE wengi Sana humu tunafahamiana sana Hadi uku mtaani kwenye maisha ya kawaida.

Ni just marafiki wa kawaida tu tuloshibana sana humu[emoji4].
 
Back
Top Bottom