Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwan mchana hujamsoma akipeana moyo na mzee eronHa ha ha.....
Kwamba isije ikawa jamaa anahs kamnunua so anafidia Ela ake au?[emoji3]
Yawezekana umri na majukumu mengi japo wapo wenye umri wa utu uzima km DP lkn wako njema niliwahi kukutana na mbaba alikuwa 47 wakati ule aaah ndo aliyenifundisha kuhimili mbio ndefuMshenz yule namuacha na hela zake..
Nimemchunia nna week 3
Yeah kuna mzee nadhan atakuwa anakaribia 70 (mstaafu) asee Ana mbio hatari mpaka nkamuuliza haya umejul8a wapiii mbona umri na ulivyo tofautiYawezekana umri na majukumu mengi japo wapo wenye umri wa utu uzima km DP lkn wako njema niliwahi kukutana na mbaba alikuwa 47 wakati ule aaah ndo aliyenifundisha kuhimili mbio ndefu
Kile unakitafuna hadi unavuta ile supu inayokaa katikati ya mfupa vile unafumba macho kwa hisia kupata utamu wakeHa ha ha...
Unapaswa uwe na mazoezi.
Si ulimuona tumbo lake lilovyokaza vizur misuli mchepuko wangu yule?[emoji4]
@Watu8 huwa una trust issue?Kuna watu wanashikwa masikio hapa ili waingie king...
Huyo asije kuwa alipaka mkongo etiYeah kuna mzee nadhan atakuwa anakaribia 70 (mstaafu) asee Ana mbio hatari mpaka nkamuuliza haya umejul8a wapiii mbona umri na ulivyo tofauti
@Watu8 huwa una trust issue?
Mekuuliza una tatizo la kuamini watu?@Watu8 huwa una trust issue?
[emoji23][emoji23][emoji23]Huyo asije kuwa alipaka mkongo eti
Kama mmasai hapo nakubali, Kuna wamasai wakurya, wasukuma[emoji23][emoji23][emoji23]
Masai yule ujue. Wale kuna Madawa wanakula wakiwa watoto so huenda ndo yanawapa nguvu
Kumbe mboga 7Hatar na nusu, sema yule pia mazoez anayo maan Ni mpenz wa kucheza tennis
Ndo maana kumbe, na hiyo ndo inafanya amudu hizo mbio ndefu,, ila seriously km Yuko hivo unavyotudolishia hapa demu yuko njema ana nguvu nyingi sanaHatar na nusu, sema yule pia mazoez anayo maan Ni mpenz wa kucheza tennis
Afu ungejua mimi siko kiivyo unavonifikiria,Kuna watu wanashikwa masikio hapa ili waingie king...