Nakadori
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 8,778
- 21,010
Umeona eehKama mmasai hapo nakubali, Kuna wamasai wakurya, wasukuma
Wapo wazee imara hadi unashangaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona eehKama mmasai hapo nakubali, Kuna wamasai wakurya, wasukuma
Achana nao bwana... ndo maana nkamuuliza watu 8 kwamba huwa anatatizo la kuamini watu?? Maana yeye nahisi hizi ni kamba...lakini pia tumekubali kupigwa kambaAfu ungejua mimi siko kiivyo unavonifikiria,
Mi Sina haja ya mwanamke,
ningekua wa hivyo miaka yote Niko humu jf ningewashatongoza sana tu.
Honestly sijawahi tongoza hata mmojawapo humu.
(kama yupo ajitokeze hadharan hata saivi)
Japo KE wengi Sana humu tunafahamiana sana Hadi uku mtaani kwenye maisha ya kawaida.
Ni just marafiki wa kawaida tu tuloshibana sana humu[emoji4].
Endeleq kufaidika hakuna namna, uzuri hufanyi dharau kwa wife wako na akili zako unaenda nazo vizuriAkili hana yule, nshajaribu mfanyie mengi ananilostisha TU[emoji4]
Uyo Watu8 mzoee TU hivyo hivyo.Achana nao bwana... ndo maana nkamuuliza watu 8 kwamba huwa anatatizo la kuamini watu?? Maana yeye nahisi hizi ni kamba...lakini pia tumekubali kupigwa kamba
Shes has very perfect shape.Ndo maana kumbe, na hiyo ndo inafanya amudu hizo mbio ndefu,, ila seriously km Yuko hivo unavyotudolishia hapa demu yuko njema ana nguvu nyingi sana
Yule ni mdot Com ila weeee si kitotoWazee wengi hasa wasio hawa wadotcom wanakula NATURAL ZAID
hii kitu Ni advantage kubwa Sana ya stamina kitandan[emoji4]
@Watu8 umekimbia eehhUyo Watu8 mzoee TU hivyo hivyo.
Ni mtaani wetu Sana kwenye nyuzi za siasa.
Hizi nyuzi za kawaida,
Yeye kila Uzi kwake huwa Ni kamba na Cha ti, NADHAN siasa zimeshamharibu.
Kuna mdau mmoja humu jf aliwahi mwambia kua ana akili za kichadema sana, yaan yeye kila kitu kwake ni kupinga TU[emoji4]
Basi kwa hili itabidi tu nianze kuuzoea mcheps wako, maana doh roho inasononeka nadhani unakumbuka tulishawahi kujadili hizi ishu,, chonde tu usiache akili nyumaNamheshimu sna wife wang[emoji120]
Kwa mwili ule kuzeeka Ni majaaliwa,, sio mnene wala mwembamba hazeeki leo, ana body kinanda sana unaweza kukabeba unakatafuna huku unazunguka nyumba nzima😂😂ningekuwa dume miiiimiShes has very perfect shape.
Anajitunza Sana ndo maana sitak kabisa azeeke mchepuko wangu yule[emoji4]
Utaachaje kuuzoea na kuupenda utamu na usingizi wa bestito? Km unapenda kuwa uweponi mwa DP bas huna jinsiiBasi kwa hili itabidi tu nianze kuuzoea mcheps wako, maana doh roho inasononeka nadhani unakumbuka tulishawahi kujadili hizi ishu,, chonde tu usiache akili nyuma
Jamaa aliwaiilisha vema kipande icho. Mfikishie Salam zangu[emoji4]Yawezekana umri na majukumu mengi japo wapo wenye umri wa utu uzima km DP lkn wako njema niliwahi kukutana na mbaba alikuwa 47 wakati ule aaah ndo aliyenifundisha kuhimili mbio ndefu
Weee ungekuwa kidume au tomboy tusingehemaKwa mwili ule kuzeeka Ni majaaliwa,, sio mnene wala mwembamba hazeeki leo, ana body kinanda sana unaweza kukabeba unakatafuna huku unazunguka nyumba nzima[emoji23][emoji23]ningekuwa dume miiiimi
Tennis amejifunza ukubwan au utoton?Hamna wakawaida Sana yule[emoji4]