Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Afu ungejua mimi siko kiivyo unavonifikiria,

Mi Sina haja ya mwanamke,
ningekua wa hivyo miaka yote Niko humu jf ningewashatongoza sana tu.

Honestly sijawahi tongoza hata mmojawapo humu.
(kama yupo ajitokeze hadharan hata saivi)

Japo KE wengi Sana humu tunafahamiana sana Hadi uku mtaani kwenye maisha ya kawaida.

Ni just marafiki wa kawaida tu tuloshibana sana humu[emoji4].
Achana nao bwana... ndo maana nkamuuliza watu 8 kwamba huwa anatatizo la kuamini watu?? Maana yeye nahisi hizi ni kamba...lakini pia tumekubali kupigwa kamba
 
Achana nao bwana... ndo maana nkamuuliza watu 8 kwamba huwa anatatizo la kuamini watu?? Maana yeye nahisi hizi ni kamba...lakini pia tumekubali kupigwa kamba
Uyo Watu8 mzoee TU hivyo hivyo.
Ni mtani wangu Sana kwenye zile nyuzi za siasa.

Hizi nyuzi za kawaida,
Yeye kila Uzi kwake huwa Ni kamba na Cha ti, NADHAN siasa zimeshamharibu.

Kuna mdau mmoja humu jf aliwahi mwambia kua ana akili za kichadema sana, yaan yeye kila kitu kwake ni kupinga TU[emoji4]
 
Uyo Watu8 mzoee TU hivyo hivyo.
Ni mtaani wetu Sana kwenye nyuzi za siasa.

Hizi nyuzi za kawaida,
Yeye kila Uzi kwake huwa Ni kamba na Cha ti, NADHAN siasa zimeshamharibu.

Kuna mdau mmoja humu jf aliwahi mwambia kua ana akili za kichadema sana, yaan yeye kila kitu kwake ni kupinga TU[emoji4]
@Watu8 umekimbia eehh
 
Back
Top Bottom