Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Basi Mwanamke yule akanitafuta anagomba kwann nmefanya vile, nmemdharau sana, nmeona ela yake hainathaman, sio utu ule yeye kachangia kwa Nia njema maana ananipenda. Nkamwambia tutayazungumza nikisharudi. Nikakata sim.

Sasa kwa bahat mbaya nilivoenda kupakia, nkakuta Bei za vitu zimepanda Sana uko. Ikabd Ile bajet nlotenga kununulia material za ujenz niongeze nichukue mzigo wa duka Kama nilivopanga. Nkasema huu ujenz upo ntaendelea nao baadae. Nizungushe kwanza. Afu vitu vingine nkavikosa vya muhimu nkavikosa ikabid nirudi baada ya siku 5 tu badala ya wiki 2 Kama nilivopanga awali.

Sasa Nilivorudi nkakuta mwenzangu kanuna, Basi ukawa mzozo akilalamika kwann nmeukataa mchanga wake. Yakawa Kama yameisha.
Tukasex kisha nikaondoka bila KUACHA posho ya meza.

Baada ya siku 2 Tena nkaenda kusex nae, Kisha nkaondoka bila KUACHA posho ya meza.
Ile natoka mlangoni Akanivuta kusema
"Hivi wee Mwanaume unanichukuliaje Mimi? Umeniona mi takataka Sana sio?"

Nkauliza "kwann?"

Akasema "Yaan unakuja,unaondoka TU hata ela ya kula huachi.
Kwenye Ujenzi nako sikuelewi elewi naona umerudi ila Sioni material wala ukiendeleza ujenzi
Ilianza unatoa elfu 15, ukaja elfu 5, sikuhizi naona huachi KABISA.
Hivi wee unahisi mi naishije hapa ndani? Au nimekua jini Mimi?"

Nikawa nimecheka nikamwambia
"kwani Maneno yote Ayo yanatoka wapi mpnz wang, wee sinilishakuachia Ela ya kula wiki 2? , leo wiki ya pili ndo imeanza unaniombaje Ela sasa?"

Akasema,
"Unaemchekea Nani,hapa utoki Lazima unaichie Ela..." Uku ananisachi.

Nikawa namtoa hatoki anaendelea kunikagua mifukoni, nikona uyu mpumbavu.
Nikamziba Kofi, akaiachia suruali yangu.

Nikamwambia,
"ukome na uwe na adabu unapokua unaongea na mm, tabia ya kunisachi Ni ya kimalaya na ife Mara Mona. Usije unarudia huo upuuzi Tena"

Basi nikaondoka zangu.
Sasa kesho yake Sina hili Wala Lile wakapitishwa samaki wazur Sana dukan kwangu.
Nikanunua mafungu mawili, moja likapelekwa kwangu jingine nikamtuma bodaboda wake ampeleke mchepuko kwake.

Basi baadae boda Akanambia kafikisha mzigo, ikabd Nimpigie kumjulisha achukue samak mmoja anichemshie supu jion ntapitia kunywa. Akawa hapokei.
Basi nikamtumia sms.

Ile jion nikapitia kwake kunywa supu yangu, Ila nafika nagonga akaja mlangon akasimama wima.

Akasema,
"Eeh baba wee, ishia uko. Ukitaka kuingia nyumba hii tekeleza nnayoyataka"

Nkamuuliza "yapi Ayo"
Akasema
" kwanza-uwe unanipa elfu 20 yakula kila siku
Pili- unimalizie ile nyumba ndani ya mwezi huu
Tatu- uweke zamu yakulala kwangu.
Huwez kutekeleza Ayo Basi ISHIA HAPO HAPO NJE"

Nkamwambia "sawa"

AkAuliza
"Iyo sawa maana ake Nini, afu ilo jibu lako silipendi linanikera Sana"

Nkamwambia ,
"Sawa maana ake siwez kutelekeza Ayo unayoyahitaji kwa Sasa"

Akasema "aya, ishia huko huko. Wako wanaume wengi sana Kama wewe wanaoweza kutimiza nnayoyahitaji"

Nkamwambia "sawa wakakutimizie Basi"

Akasema " akarud ndan na kufunga mlango wake"

Sasa,
Nikabaki pale nje nimeduwaa, maswali mengi kichwani. Kisha nikaenda zangu nyumbani.

Ni siku ya 5 Sasa karudi kwenye ule utaratibu wake w zamani wa kurusha vijembe status,

Naziona status zake kibao kila Mara, nabaki najiuliza.

[emoji117]Hivi uyu mwanamke ananichukuliaje kwanza?[emoji848]
[emoji117]Hivi anajiona special Sana eeh?[emoji848]
[emoji117]Hivi anajua kua hapo anapokaa Kodi anahamia nmelipia mm?[emoji848]
[emoji117]Hivi anajua Apo anapojimwambafai nishapita na mdg wake?[emoji848]
[emoji117]Hivi anajua kwamba Apo anapofanya kazi yupo kwa mgongo wangu mimi[emoji848]
[emoji117]Au nimuundie zengwe Tena ahangaike na Dunia ili akili imkae[emoji848]

Wakuu mnisaidieni
Je, NIMWAMBIE UKWELI AU NIMUACHE AENDEEE KUJIMWAMBAFAI[emoji848]

Mwisho
Big up brother, hakika tumejifunza vitu hapo, ila shukuru huyo mchepuko sio mtu wa kutumia ushirikina, hakika angekupumbaza na kukufanya zuzu wake, ungesahau familia yako kabisa
 
Boss, NARUDIA TENA ieleweke vizur.

Siko kiivyo unavonifikiria,
Mimi Sio Domo zege eti nizunguke kote uko nijitese niandike nyuz ndefu et lengo kumtega&kumnasa Mwanamke wa jf.
(Nkihitaji namtongoza straight na sipepesi)
.
Kingine,
Mi Sina haja ya mwanamke kwasasa, Wala sina njaa ya ya K ya bure kuokoteza humu
(Niliko always Nna uhakika wa goodsex[emoji4])

Ningekua wa hivyo miaka yote Niko humu jf ningewashatongoza sana wadada wa humu.

Na Honestly sijawahi tongoza hata mmojawapo humu, hata kwa bahat mbaya.
(kama yupo ajitokeze hadharan hata saivi)

Japo KE wengi Sana humu tunafahamiana sana Hadi uku mtaani kwenye maisha ya kawaida.

Nawachukulia
Ni just marafiki wa kawaida tu tuloshibana sana humu, ni Kama vile TU marafiki tunokutanaga nao bar hatujuani kiundan ila tunabadilishana mawili matatu na kufurahi pamoja[emoji4].

TAKE EASY BROTHER, Be positive.[emoji4]

SIO KILA MWANAUME anaeanzisha uzi wa mapenz humu MMU yupo KWA AJILI YA kusaka Mpenzi[emoji4]

Yaaani ukiongea ishu za mapenz unaonekana unatafuta. Mtukomee
 
Kuna watu wengine Sijui wameumbwaje?[emoji848]

Hii Ni NON-SENSE kabisa,
Mtu mzima na akili zako kichwani, unasimama hadharani unauonea wivu Uzi[emoji4]

TENA Unashikilia bango kabisa na kuonesha wazi kabisa kuonesha wazi unachukizwa, umefura husda kifuani kwa maandishi tu yalowekwa mtandaoni[emoji4]
Sasa nikwambie kitu kizuri binam.... tusiwajibu wenye negativity. Tujifanye km hatujaona comment zao
 
Kuna watu wengine Sijui wameumbwaje?[emoji848]

Hii Ni NON-SENSE kabisa,
Mtu mzima na akili zako kichwani, unasimama hadharani unauonea wivu Uzi[emoji4]

TENA Unashikilia bango kabisa na kuonesha wazi kabisa kuonesha wazi unachukizwa, umefura husda kifuani kwa maandishi tu yalowekwa mtandaoni[emoji4]
Ukiona hivyo ujue hao ndiyo sekunde 8 chali hivyo wanaona wivu mwenzao kuandika hivyo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mrejesho[emoji4][emoji116]


Cc: Nakadori
Tipstipstor
Tinsley
@Extroverts
mbalizi1
mahondaw
cocastic
KENZY
Offisho_Kid
mkwepu jr
Noelia
reymage
Dinazarde
buffalo44
kallenge
Katriel
Lovelovie
chuma cha mjerumani
maishapopote
Kweli mpambanaji@DeepPond kuna mtu kaomba kibarua (kazi) kwenye koment za juu mfanyie wepesi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom