Mkuu, kumbe kuna uwezekano wa kunyofolewa dushe... πππ..siku atakapopigwa mtu na majini yamle ndogo na kumkata dushe ndio akil zitakkaa sawa.
Majin??? Sitak mwanamke hata anayeanguka pepo tu simli. Nakula wale wenye roho wa bwana π
Nahisi kanafanya sehemu nipitazo nikiwa natoka kufurahia watu husema Kuna mambo ya ajabu lakini Mimi sioni lolote usiku wa mananeπ€£π€£π€£π€£.. Kanafanya kazi kweli??.
Ee Kaka na wewe ukipata muda chukua hata tumitupa tutatu kamoja kwenye suruali ,kengine kwenye droo ya gari na kengine chini ya kitanda ,hakika hautakuja hapa kusema ooooh namtafuta Mshana Jr anisaidie πBasi kapo vizuri sana ππ
Mkuu, Sema hujaniambia ni mfupa ya kiumbe gani.. ππ
Si ndio safi, unakua unakula mtu na jini lake kwa wakat mmojaLakini Huwa nawaza mpo kwenye 6*6 alafu demu anapandisha majini ππ
Unafutikaje mwanaume acha wogaMkuu, unataka nifutike kabisa kwenye uso wa Dunia π¬π¬
Hayanaga muongozo sweetheart...
Weeeeeh mwongozo upo kwa unayemfeel na kumuelewa lo usintanieeeeeee πππ!Hayanaga muongozo sweetheart...
Utadhani nyie wanawake ni malaika hua hamchepuki π