Huyu mchepuko ana masharti magumu sana, ni binadamu halisi kweli au nimevamia kambi? πŸ€”

Mm naamini hakuna jambo linaloshindikana siku hizo kadhia zikizidi na kukufikia pabaya utajitoa MUNGU akutie nguvu tunakumbana na mengi kwenye hii micheps
Ni kweli mkuu... Upo sahihi 🀝
 
siku atakapopigwa mtu na majini yamle ndogo na kumkata dushe ndio akil zitakkaa sawa.
Majin??? Sitak mwanamke hata anayeanguka pepo tu simli. Nakula wale wenye roho wa bwana πŸ˜‚
Mkuu, kumbe kuna uwezekano wa kunyofolewa dushe... 😭😭😭..
 
Tukikutana location, Kabla ya kumla namshushia kwanza maombi mazito ya upako ndio mchakato unaanzaa baada ya kuona matokeo
. Hapa umetupiga fix mkuu....

. Lakini Huwa nawaza mpo kwenye 6*6 alafu demu anapandisha majini πŸ™‚πŸ™‚
 
Ee Kaka na wewe ukipata muda chukua hata tumitupa tutatu kamoja kwenye suruali ,kengine kwenye droo ya gari na kengine chini ya kitanda ,hakika hautakuja hapa kusema ooooh namtafuta Mshana Jr anisaidie πŸ˜ƒ
Mkuu, Sema hujaniambia ni mfupa ya kiumbe gani.. πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…