Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, ushauri wako mzuri,Mke wako hana unayotafuta kwa mchepuko?
Kwanini unakazania tabia hiyo na huyo kutaka kujiletea matatizo maishani.. umeyasoma na kulala na watu tofauti ovyo humu na mabalaa yake.. tafuta threads za kuhusu..
Una tabia mbaya tulia na mkeo
Aloo... Ngoja nitume mabaharia na wanamito.. Wakampige swaga kwanza.Ndio mkuu mi niliwahi fanyiwa hayo mambo kupindi hiko mkuu..
Ila nikaja gundua mtoto yule ni mshenzi sana.
Nilivomkazia mbona alilegeza aiseee
Alikua analeta utoto huo huo
Mkuu nina uhakika kakuchukulia wewe kama mtangazaji wa aridhioAloo... Ngoja nitume mabaharia na wanamito.. Wakampige swaga kwanza.
Kama ni mchepuko tu unajipigia na kuondoka na huna mpango wa kuoa, masharti hayo unayaogopa ya nini? Umesema mwenyewe "mnapotezeana muda", kubali masharti yote uendelee kujinyoshea mgongo.Habari za majukumu wana JF, poleni na mihangaiko ya hapa na pale. [emoji1666][emoji1666]
- Watu wanaweza kuwa na tabia na matarajio tofauti sana katika uhusiano, na mara nyingi hutokea kwamba baadhi yao huweka masharti magumu kwa sababu zao binafsi. Au Inawezekana mtu huyu anafanya hivyo ili kujilinda kutokana na mpitio mbaya wa zamani, au labda ni sehemu ya tabia zake za kawaida.
• Lakini Huyu mchepuko anaweka masharti magumu sana kwenye uhusiano wa kimapenzi, Kutokana na hali hiyo, mda mwingine najiuliza kwamba ni binadamu halisi kweli? , tabia zake zinanifanya niwe na mashaka.
• Lakini Kwa huyu mwanamke nimekuwa na wasiwasi kuhusu uhalisia wake, nimejaribu kumjua zaidi, kuzungumza naye kwa ukaribu kuhusu hisia na matarajio yake, na kuona kama kuna uwiano wa matarajio katika uhusiano wetu wa kupotezeana mda.
• Lakini masharti yake yanaonekana kuwa magumu sana ambayo yananifanya niamini huyu mwanamke kuna kitu nyuma na mbele ya pazia:-
Ebu fikiria misimamo yake
1. Marufuku kufanya mapenzi siku ya alhamisi usiku na ijumaa - kwasababu ni siku ya ibada.2. Marufuku Kufanya mapenzi siku ya jumanne - kwasababu majini huwa yanamtembelea kumsalimia.3. Marufuku kufanya mapenzi muda wa mchana - amesema hajazoea na watu wake hawapendi afanye mapenzi mda wa mchana.
Ukaguzi wa kimwili
1. Nimejaribu kuafiatilia hizo siku labda kama anamchepuko namba mbili lakini wapi.2. Nimejaribu kumkagua mwili mzima labda nione kama kuna kitu mwilini anaogopa nisikione muda wa mchana, Lakini yupo vizuri kabisa.3. Amefika mbali zaidi, ili kuniamisha kuwa hana mchepuko namba mbili, hizo siku za umimi wa utelezi huwa anakuja ofisini kwangu nashinda naye mpaka muda wa kufunga ofisi.4. Nyumba yake anayokaa, inanukia manukato ya hali juu,Mabaharia na wana mito, limekajaake hili? [emoji855][emoji855][emoji855]
We muache tu aendelee nae licha yabkutajiwa majini, siku atakapopigwa mtu na majini yamle ndogo na kumkata dushe ndio akil zitakkaa sawa.si ufanye hizo siku zingine anazotaka tu mengine yatajisort mbele bhana 😂😂😂
Una maana gani????Hujui kama Alhamis na ijumaa nisiku takatifu mno? Katika ulimwengu wakiroho??
(Mfano👉Mimi ni kijana wa kiume ninamiaka 26.... Halafu bado bikra😁
Ndio sababu nnakuwa hivi nilivyo. Kama huamini sikulazimishi)
. Mkuu, nifundishe na mimi upako.. Ili niupambane na huyu shetwani...Utakuja upitie changamoto hii👉 Utaingia kwenye ugomvi na mume mwenzako wa kijini ambaye kakubali mshee mke kwa mashart!!!!
Hapo ndipo utajua Kuna Mungu😁😁😁
😂😂😂😂😂heee sasa anae anguka mapepo utamjuaje? au wakwako mnakutanaga kanisaniWe muache tu aendelee nae licha yabkutajiwa majini, siku atakapopigwa mtu na majini yamle ndogo na kumkata dushe ndio akil zitakkaa sawa.
Majin??? Sitak mwanamke hata anayeanguka pepo tu simli. Nakula wale wenye roho wa bwana 😂
Tukikutana location, Kabla ya kumla namshushia kwanza maombi mazito ya upako ndio mchakato unaanzaa baada ya kuona matokeo😂😂😂😂😂heee sasa anae anguka mapepo utamjuaje? au wakwako mnakutanaga kanisani
Nitumie picha yake whatsapp kwanamba iliopo hapo profile ili tujue nimtu wa aina gani ?huenda ukawa hatarini kuhatarisha maisha yako hapo badae.Una maana gani????
Lete tusaidiane jini hilo😀Afadhali mkuu, Maana siyo poa.