mangichogo
JF-Expert Member
- Oct 30, 2023
- 837
- 1,482
🤣🤣Sasa kama umeshajua jumanne anatembelewa na majini unauliza nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣Sasa kama umeshajua jumanne anatembelewa na majini unauliza nini?
Mtu anauliza swali ambalo tayari jibu analo.Eti
Bwana!
Ni kama utani lakini ndio ukweliPole sana mkuu unadate na mganga wa kienyeji
Hata haya unayoandika anakuonaKila nikitaka kujinasua na huu mtego wa tetere, Lakini wapi, naishia tu kukenua meno.
na kuona kama kuna uwiano wa matarajio katika uhusiano wetu wa kupotezeana mda.
NA KWANINI ADINDE JUMANNE WAKATI NI ZAMU YA MAJINI?Sasa kama umeshajua jumanne anatembelewa na majini unauliza nini?
Utadhani nyie wanawake ni malaika hua hamchepuki 😏Mke wako hana unayotafuta kwa mchepuko?
Kwanini unakazania tabia hiyo na huyo kutaka kujiletea matatizo maishani.. umeyasoma na kulala na watu tofauti ovyo humu na mabalaa yake.. tafuta threads za kuhusu..
Una tabia mbaya tulia na mkeo