Huyu mchepuko ana masharti magumu sana, ni binadamu halisi kweli au nimevamia kambi? 🤔

Huyu mchepuko ana masharti magumu sana, ni binadamu halisi kweli au nimevamia kambi? 🤔

Habari za majukumu wana JF, poleni na mihangaiko ya hapa na pale. 🤝🤝
- Watu wanaweza kuwa na tabia na matarajio tofauti sana katika uhusiano, na mara nyingi hutokea kwamba baadhi yao huweka masharti magumu kwa sababu zao binafsi. Au Inawezekana mtu huyu anafanya hivyo ili kujilinda kutokana na mpitio mbaya wa zamani, au labda ni sehemu ya tabia zake za kawaida.

• Lakini Huyu mchepuko anaweka masharti magumu sana kwenye uhusiano wa kimapenzi, Kutokana na hali hiyo, mda mwingine najiuliza kwamba ni binadamu halisi kweli? , tabia zake zinanifanya niwe na mashaka.


• Lakini Kwa huyu mwanamke nimekuwa na wasiwasi kuhusu uhalisia wake, nimejaribu kumjua zaidi, kuzungumza naye kwa ukaribu kuhusu hisia na matarajio yake, na kuona kama kuna uwiano wa matarajio katika uhusiano wetu wa kupotezeana mda.

• Lakini masharti yake yanaonekana kuwa magumu sana ambayo yananifanya niamini huyu mwanamke kuna kitu nyuma na mbele ya pazia:-

Ebu fikiria misimamo yake
1. Marufuku kufanya mapenzi siku ya alhamisi usiku na ijumaa - kwasababu ni siku ya ibada.​
2. Marufuku Kufanya mapenzi siku ya jumanne - kwasababu majini huwa yanamtembelea kumsalimia.​
3. Marufuku kufanya mapenzi muda wa mchana - amesema hajazoea na watu wake hawapendi afanye mapenzi mda wa mchana.​

Ukaguzi wa kimwili
1. Nimejaribu kuafiatilia hizo siku labda kama anamchepuko namba mbili lakini wapi.​
2. Nimejaribu kumkagua mwili mzima labda nione kama kuna kitu mwilini anaogopa nisikione muda wa mchana, Lakini yupo vizuri kabisa.​
3. Amefika mbali zaidi, ili kuniamisha kuwa hana mchepuko namba mbili, hizo siku za umimi wa utelezi huwa anakuja ofisini kwangu nashinda naye mpaka muda wa kufunga ofisi.​
4. Nyumba yake anayokaa, inanukia manukato ya hali juu,​
Mabaharia na wana mito, limekajaake hili? 🤒🤒🤒
Ngoja nikupe faida kidogo: Mimi nimefanya ibada sana mpaka nimeanza kufunuliwa siri za ulimwengu wa pili,,,,,, hapa nazungumzia Ruuh, Jinn, Malaika, Mitume, waja wema walotangulia n.k🤝
(Nimetanguliza hii 👆👆... Kupunguza maswali )

Twende kwenye mada:
Hayo mashart ulopewa kwa kigezo Cha siku,,,,,,, n kweli 🤝 Alhamis kuamkia Ijumaa na Jumapili kuamkia Jumatatu ni siku ambazo Kuna kuwa na nguvu nyingi za kiroho..... Ni siku ambazo ibada zinahudhuriwa sana na viumbe wema wa kiroho!!!!

Lakini huyo mchepuko wako nnamashaka nae, huwezi kuwa karibu na malaika na viumbe wema halafu uwe unazini,,,,, haiwezekani haiwezekani, haiwezekani🤔🤔
(Mfano👉Mimi ni kijana wa kiume ninamiaka 26.... Halafu bado bikra😁
Ndio sababu nnakuwa hivi nilivyo. Kama huamini sikulazimishi)

Huyo mchepuko wako anamikataba na viumbe wa kiroho wabaya (👉mashetwan)
Na hizo ibada anazokuaminisha ni ibada sio ibada unazozifikiria wewe✋🏽, huyo mchepuko wako kitendo Cha kuingia nae kwenye mahusiano tayari mashetwan wake wanakutizama kwa ukaribu,,,,,,,,, ili uweze kuwa salama ni ubaki kuwa mjinga na uishi kweny masharti yake

Utakuja upitie changamoto hii👉 Utaingia kwenye ugomvi na mume mwenzako wa kijini ambaye kakubali mshee mke kwa mashart!!!!
Hapo ndipo utajua Kuna Mungu😁😁😁
 
Umeyatimba hapo, dini yao inaruhusu wawe na mahusiano na majini. Hizo siku atakuwa anakuta na mume wake mkubwa usiyemuona.
Balaa kubwa hili... Inawezekana hilo lijamaa linaniibia mchepuko wangu. 🤔🤔
 
Habari za majukumu wana JF, poleni na mihangaiko ya hapa na pale. 🤝🤝
- Watu wanaweza kuwa na tabia na matarajio tofauti sana katika uhusiano, na mara nyingi hutokea kwamba baadhi yao huweka masharti magumu kwa sababu zao binafsi. Au Inawezekana mtu huyu anafanya hivyo ili kujilinda kutokana na mpitio mbaya wa zamani, au labda ni sehemu ya tabia zake za kawaida.

• Lakini Huyu mchepuko anaweka masharti magumu sana kwenye uhusiano wa kimapenzi, Kutokana na hali hiyo, mda mwingine najiuliza kwamba ni binadamu halisi kweli? , tabia zake zinanifanya niwe na mashaka.


• Lakini Kwa huyu mwanamke nimekuwa na wasiwasi kuhusu uhalisia wake, nimejaribu kumjua zaidi, kuzungumza naye kwa ukaribu kuhusu hisia na matarajio yake, na kuona kama kuna uwiano wa matarajio katika uhusiano wetu wa kupotezeana mda.

• Lakini masharti yake yanaonekana kuwa magumu sana ambayo yananifanya niamini huyu mwanamke kuna kitu nyuma na mbele ya pazia:-

Ebu fikiria misimamo yake
1. Marufuku kufanya mapenzi siku ya alhamisi usiku na ijumaa - kwasababu ni siku ya ibada.​
2. Marufuku Kufanya mapenzi siku ya jumanne - kwasababu majini huwa yanamtembelea kumsalimia.​
3. Marufuku kufanya mapenzi muda wa mchana - amesema hajazoea na watu wake hawapendi afanye mapenzi mda wa mchana.​

Ukaguzi wa kimwili
1. Nimejaribu kuafiatilia hizo siku labda kama anamchepuko namba mbili lakini wapi.​
2. Nimejaribu kumkagua mwili mzima labda nione kama kuna kitu mwilini anaogopa nisikione muda wa mchana, Lakini yupo vizuri kabisa.​
3. Amefika mbali zaidi, ili kuniamisha kuwa hana mchepuko namba mbili, hizo siku za umimi wa utelezi huwa anakuja ofisini kwangu nashinda naye mpaka muda wa kufunga ofisi.​
4. Nyumba yake anayokaa, inanukia manukato ya hali juu,​
Mabaharia na wana mito, limekajaake hili? 🤒🤒🤒
Huu huzi anapaswa ausome DeepPond kwanza idara hii yupo vizuri
 
Back
Top Bottom