Huyu mchepuko ana masharti magumu sana, ni binadamu halisi kweli au nimevamia kambi? 🤔

Huyu mchepuko ana masharti magumu sana, ni binadamu halisi kweli au nimevamia kambi? 🤔

Mm naamini hakuna jambo linaloshindikana siku hizo kadhia zikizidi na kukufikia pabaya utajitoa MUNGU akutie nguvu tunakumbana na mengi kwenye hii micheps
Ni kweli mkuu... Upo sahihi 🤝
 
siku atakapopigwa mtu na majini yamle ndogo na kumkata dushe ndio akil zitakkaa sawa.
Majin??? Sitak mwanamke hata anayeanguka pepo tu simli. Nakula wale wenye roho wa bwana 😂
Mkuu, kumbe kuna uwezekano wa kunyofolewa dushe... 😭😭😭..
 
Tukikutana location, Kabla ya kumla namshushia kwanza maombi mazito ya upako ndio mchakato unaanzaa baada ya kuona matokeo
. Hapa umetupiga fix mkuu....

. Lakini Huwa nawaza mpo kwenye 6*6 alafu demu anapandisha majini 🙂🙂
 
Back
Top Bottom