Huyu mchezaji ametukwaza, sijapenda kauli yake kuhusu timu yetu

Huyu mchezaji ametukwaza, sijapenda kauli yake kuhusu timu yetu

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Very stupid football player. Anaongea mbele ya wenzake akidhani sisi wote hatufahamu Kifaransa. Kuwa yeye ameamua kuchezea Yanga sababu kule Simba kuna ushindani sana wa namba.

Hivyo anaona akija Yanga kuna uhakika na watampa namba wakati wote. Yaani professional player anakimbia changamoto?

Ni kauli ya kipuuzi. Na mwenzake anamwambia "upo sahihi mimi mwenyewe ile team naipenda lakini shida ni kuwa hawana uvumilivu wanataka matokeo.ukiwa umeyumba kidogo unaishia bench"

Very stupid. Kiongozi wetu yupo tu, haelewi. Haya mambo watu wanafanya kiswahili sana. Hatutaki kuwa na wachezaji ambao muda mwingi wata deal na urembo tu.

Mwaka huu tunataka vikombe.
 
Kuch kuch otae fc mnajitekenya wenyewe halafu mnacheka wenyewe

FB_IMG_1628837625214.jpg
 
Wana shida sana hawa Bombay fc!
Mshalipiwa Kule Morocco na waarabu.... Wanawasubiri kwa hamu waje kuuondoa huo mwiko huko nyuma....😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁 Yaani mnawauzia kisinda halafu mnaomba wawalipie kambi na malazi. Waarabu? Sijui mtarudi mkoje....😂😂😂😂😂😂

Kila mnapoingia sehemu wanawaambia mshalipiwa yakheeee......😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Very stupid football player. Anaongea mbele ya wenzake akidhani sisi wote hatufahamu Kifaransa. Kuwa yeye ameamua kuchezea Yanga sababu kule Simba kuna ushindani sana wa namba.

Hivyo anaona akija Yanga kuna uhakika na watampa namba wakati wote. Yaani professional player anakimbia changamoto?

Ni kauli ya kipuuzi. Na mwenzake anamwambia "upo sahihi mimi mwenyewe ile team naipenda lakini shida ni kuwa hawana uvumilivu wanataka matokeo.ukiwa umeyumba kidogo unaishia bench"

Very stupid. Kiongozi wetu yupo tu, haelewi. Haya mambo watu wanafanya kiswahili sana. Hatutaki kuwa na wachezaji ambao muda mwingi wata deal na urembo tu.

Mwaka huu tunataka vikombe.
Mashabiki wa Simba mna kazi kweli Yanga inawauma sana klia mkikaa mnawaza Yanga tu wala hamna lingine la kufanya ,nyie subiri Tar 25/9 mle kichapo na msionekane tena mitandaoni.Kipigo lazima
 
Mashabiki wa Simba mna kazi kweli Yanga inawauma sana klia mkikaa mnawaza Yanga tu wala hamna lingine la kufanya ,nyie subiri Tar 25/9 mle kichapo na msionekane tena mitandaoni.Kipigo lazima
Huyo ni mwenzako ambaye akili yake hajashikiwa
 
Wanajitekenya wenyewe na kutiana vidole wenyewe na Kujichekesha juu
 
Very stupid football player. Anaongea mbele ya wenzake akidhani sisi wote hatufahamu Kifaransa. Kuwa yeye ameamua kuchezea Yanga sababu kule Simba kuna ushindani sana wa namba.

Hivyo anaona akija Yanga kuna uhakika na watampa namba wakati wote. Yaani professional player anakimbia changamoto?

Ni kauli ya kipuuzi. Na mwenzake anamwambia "upo sahihi mimi mwenyewe ile team naipenda lakini shida ni kuwa hawana uvumilivu wanataka matokeo.ukiwa umeyumba kidogo unaishia bench"

Very stupid. Kiongozi wetu yupo tu, haelewi. Haya mambo watu wanafanya kiswahili sana. Hatutaki kuwa na wachezaji ambao muda mwingi wata deal na urembo tu.

Mwaka huu tunataka vikombe.
Hayo maneno kama kayaongea mchezaji wa Yanga basi weka hiyo video hapa tuisikie hakuna haya ya kuyaongea wewe
 
Back
Top Bottom