Huyu mchezaji ametukwaza, sijapenda kauli yake kuhusu timu yetu

Huyu mchezaji ametukwaza, sijapenda kauli yake kuhusu timu yetu

Mashabiki wa Simba mna kazi kweli Yanga inawauma sana klia mkikaa mnawaza Yanga tu wala hamna lingine la kufanya ,nyie subiri Tar 25/9 mle kichapo na msionekane tena mitandaoni.Kipigo lazima
Hakuna shabiki wa Simba anaumia na Yanga, tunaumia kushiriki ligi na timu inayolipiwa vyumba na waarabu, badala kucheza mpira inacheza karate uwanjani, kila siku kulialia inaonewa, timu ombamba, timu inakula mayai fiza, timu inayojikombakomba Simba wakati level yake ni Mwadui fc, mbaya zaidi hata Morocco walikolipiwa na miarabu wanafikiria kwenda na basi eti ticket hawana..
Hii timu inastahili kutokea shelisheli au Somalia
 
Hakuna shabiki wa Simba anaumia na Yanga, tunaumia kushiriki ligi na timu inayolipiwa vyumba na waarabu, badala kucheza mpira inacheza karate uwanjani, kila siku kulialia inaonewa, timu ombamba, timu inakula mayai fiza, timu inayojikombakomba Simba wakati level yake ni Mwadui fc, mbaya zaidi hata Morocco walikolipiwa na miarabu wanafikiria kwenda na basi eti ticket hawana..
Hii timu inastahili kutokea shelisheli au Somalia
Duh baba umetisha hahahahaha....hawa uto wameishiwa mipango
 
Una maanisha wakati baba yake akila mihogo mibichi na karanga ili aanze kutengenezwa?
Mimi naifahamu Simba kabla wewe hujafaa hata kuwa kwenye sperms. Usidhani mimi ni Mshabiki kitumbua kama wewe....[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mashabiki wa Simba mna kazi kweli Yanga inawauma sana klia mkikaa mnawaza Yanga tu wala hamna lingine la kufanya ,nyie subiri Tar 25/9 mle kichapo na msionekane tena mitandaoni.Kipigo lazima
Wewe ndo wale mlioko Yanga ambao ni Utopolo. Unadhani kila anayekosoa yanga ni simba. Mimi ni mwanayanga kabla hata wewe hujawa sperm.
 
HAHAHAH!

Unaweza kuta kuna changamoto kidogo kwenye uelewa wa lugha, ndio maana kuna wakati unaweza kupata tafsiri isiyo kusudiwa. Ni watanzania wachache sana wanafahamu kilingala au kifaransa.

Na wengi wao huwa hawashindi humu JamiiForum.
 
HAHAHAH!

Unaweza kuta kuna changamoto kidogo kwenye uelewa wa lugha, ndio maana kuna wakati unaweza kupata tafsiri isiyo kusudiwa. Ni watanzania wachache sana wanafahamu kilingala au kifaransa.

Na wengi wao huwa hawashindi humu JamiiForum.
umetumia kigezo gani kujua watanzania wachache hawajui kilingala na kifaransa sema watu wanaokuzunguka ndio utaeleweka
 
Back
Top Bottom