Huyu mchumba alitaka kumuua baba yangu kisha animalizie na mimi

Ulikula mzigo mzee maana kwenye story sijaona sehemu ambayo umecheza na V ... vipi? Ulitusua sambwanda?

Ok, kumbe alishikaga na ujauzito sawa mkuu
 
Kaka hakuna mpare mwenye shepu zaidi ya kukomaa na kamwili kadogo..
MAOKOTO
Weeh wapo kuna Halima mwandishi nipashe kipindi flani kalikua kafupi kana sura ya babaake , tulianza utani utani siku nakasindikiza kwake tukaanza kula denda bwana we kakabinua gauni hapo tupo njiani kwenye michongoma banaa kana tako flani amazing.
Tukagongana hapo hapo tako laini mtoto ana maji utelezi balaa.
Aah ndo nikazama nikanogewa.
Nikawa natafuna yule mtoto mpaka anatembelea magoti.
Sijui hata tuliachana vp.
Itakua mambo ya hela tu.
 
Kaka umeamini kuwa wapare Wana viumbo vya kijapan .
Sasa hiyo shepu wanatolea wapi ?
 
Hi ni general statement..haiwezekani wanawake wote wa Arusha na Kilimanjaro wakawa kama hilo jambazi lako..kuna wengine hawana njaa mzee..pesa,gari,nyumba n.k vipo kwa wazazi wao..na wengine ni maskini tu ila hawana akili za nyumbu kama hilo dunga lako.

Anyway,
Pole mkuu
 
Itakuwa ulitumia mafuta au maji ya mwamposa bulldozer.
Nenda katoe ushuhuda kwenye madhabahu ya arise and shine. 🤭🤭
 
Nimeishia hapo eti atuandikishie urithi. Huu ni uongo uliotukuka na wimbi la hawa vijana waliobalehe juzi wenye ndoto nyevu wamezidi hapa jukwaani. Nyuzi kama hizi zifutwe.
 
Story imeungwa nazi
 
una bahati,tangu enzi ndoa mtego boy...
 
Daaaaaah..... Yupo wapi sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…