Huyu mchumba alitaka kumuua baba yangu kisha animalizie na mimi

Nimeishia hapo eti atuandikishie urithi. Huu ni uongo uliotukuka na wimbi la hawa vijana waliobalehe juzi wenye ndoto nyevu wamezidi hapa jukwaani. Nyuzi kama hizi zifutwe.
Kwetu malantu maana yake matako makubwa.
 
Mbona muandko wako nikama wa lak 3

Achane kutunga story kuwasema dadaZetu

[emoji35][emoji35][emoji35]
 
Usije ukadhubutu kudate mwanamke toka Kilimanjaro au Arusha. Usidhubutu. Nlipata demu mmoja wa kipare kipindi hicho nataka kuoa. Alikuwa anafanya kazi bank. So mara nyingi nikienda ku deposit mkwanja namtumia yeye.
[emoji23][emoji23][emoji23] huo mstari wa mwisho kha
 
Uache kiherere ngumbaru wewe. Ilikuaje mpenzi wako ajue utajiri wa baba ako? Na biashara alizonazo kama sio upumbavu na kiherehere chako mwenyewe kilichokupelekea kumwambia. Na ukiendelea kung’oa hivi mademu kwa kutumia mali na utajiri wa baba yako yatakuja kukupata makubwa. Ngumbaru mkubwa wewe.
 
Daaaaaah..... Yupo wapi sasa?
Najua basi ilikua 98 huko , yaani demu mkianza kulana anapiga kilio mpaka majirani wanazani jirani yao anauliwa😁😅😅😅
Wanakuja kugonga anawaambia nyie mtulie niachieni matatizo yangu,
Akirudi tunaanza upya basi utaskia "mamaa wee nakufa mimi kwanini mama mi napata tabu hivi hili shimo"🤣🤣🤣
Yaani yule mwanamke ilikua kazi sana
 
Kwetu malantu maana yake matako makubwa.
Na haiondoi ukweli kwamba umeandika mada ya kipumbavu na ya kutunga. Hivyo vistori upuuzi uwe unajadiliana na malimbukeni wenzako ambao mmebalehe juzi pamoja.
 
Ulikuwa una enjoy sana..... Sipati picha....
 
Na haiondoi ukweli kwamba umeandika mada ya kipumbavu na ya kutunga. Hivyo vistori upuuzi uwe unajadiliana na malimbukeni wenzako ambao mmebalehe juzi pamoja.
Matakoh umeumia sana. Nimeshaandika sasa. Unasemaje? Na watu wanachangia na wewe ukiwemo. Tulia utapata bwana. Ukiendekeza tamaa huolewi. Shauri yako.
 
Hao wanyama ndivyo walivyo. Wanapenda kutembea na ndugu zao sina hamu. Hawana ubinadamu. Ni wanyamxxx wanaovaa nguo
 
Upepo unavumia kaskazini kwa sasa.
 
uunafanya generalization za kipumbavu, si kila mwanamke wa kaskazini yuko hivo. Acha upumbavu....
Mimi nimekutana nao Ke Wairaki, Wameru, Wachaga, Wapare, Wamasai ila ni Ke Mmasai pekee ndiye niliona hana chembe chembe za kukaa kimasilahi.

NB:

Wote tu Watoto wa Baba mmoja "Tanzania" lakini hao Ndugu zangu kanda za Kaskazini nimewanyanyulia mikono juu [emoji119]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…