Huyu mdada anaomba ushauri wenu

Huyu mdada anaomba ushauri wenu

Kiwanja ana hati yake mwenyewe jinalakr kabisaaa limeandiksa na ameshika hati mkono I?
 
Kwaiyo wazazi wa huyo hinti/kitoto Cha elfu 2,000 wanapokea kila mwanaume anayekuja kujitambulisha?

Kwanza sio mdada sema kitoto Cha elfu 2,000
Mbaba hajielewi na kitoto chenyewe hakijielewi na wazazi wa kitoto ndio hawajielewi kabisa yani vurugu.

Mimi ushauri wangu unaenda kwa huyo kijana wa miaka 29 atafute mke wa kuoa aachane na icho Kivuruge.

Huyo binti sidhani kama kweli anahitaji ushauri manaake hapo ni issue ya kufanya maamuzi tu.
Sawa mkuu
 
Kiwanja ana hati yake mwenyewe jinalakr kabisaaa limeandiksa na amesika hati mkononi?
 
Uyo dada ajielewi kabisa na uyo mwalimu ikitokea amemuoa basi ipo siku nae atakula za mbavu tu mana uyo demu anaonekana ukiwa na maokoto tu unamsuuza vzur tu
 
Aolewe kwanza na mubaba miaka 20 badaye mubaba atafatiki huku yeye akiwa na miaka 43, Atabaki na Majumba na Pesa.

Kisha aolewe tena na yule Jembe la mkono atakayekuwa na miaka 49, miaka 20 badaye watakufa wote.
Anaweza akafa akawaacha 😆😆
 
Cha muhimu awakutanishe wote awake ukweli kuwa amewapenda wote wajuane
 
Iko hivi huyu ni binti miaka 23, anajikuta kwenye dimbwi la mawazo katika kufanya maamuzi

Amekuwa na mahusiano ya kimapenzi na mbaba(40 yrs) yaani mume wa mtu kwa zaidi ya miaka miwili na amemuahidi kumuoa na amejitambulisha mpaka kwa Wazazi wake hata alipokuwa chuo cha maendeleo huyo mbaba ndo alikuwa anamsimamia huduma za chuo na kila kitu na pia alishatambulishwa hadi kwa mke wake mbaba

Pia alishamnunulia kiwanja na ameanza kumjengea nyumba

Miezi ya hivi karibuni amejikuta kupendana na kijana miaka 29 ila kwa bahati mbaya ni jobless anasubiri kuajiriwa na serikali(ualimu) kwa sasa anajishughulisha na kilimo cha jembe la mkono na yeye amejitambulisha kwao anataka kupeleka posa

Yupo njia Panda afanye maamuzi yapi?
Akomae tu na huyo mbaba wa 40. Miaka 29 atakuja atampora kiwanja , na hako kajumba kake aakishavipata ataanza kumtafutia visingizio , kumpiga n.k kwasababu anajua kama umeweza kumuacha mtu aliyekuanzisha chini, kulipia ada ukamfata yeye , utashindwaje kumuacha yeye ukaenda kwa mwengine. Ukishawekeza kwa mtu simamia uaminifu wako usiyumbe Wala kuyumbishwa na hisia za muda mfupi.
 
Back
Top Bottom