Huyu mdada anavyonichunia baada ya kumwambia hivi, kosa langu ni nini?

Huyu mdada anavyonichunia baada ya kumwambia hivi, kosa langu ni nini?

AlphaMale

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2019
Posts
613
Reaction score
1,416
Huyu mdada nilikutana nae kwenye sherehe ya harusi ya ndugu yangu, kuulizia ulizia, nikatambulishwa kuwa alikuwa ni family friend wa ndugu yangu tena anaishi jirani na mtaa anaoishi ndugu yangu. Alinivutia, nikamwomba namba akakubali, tukawa tunachat, tena siku ingine anaanza yeye kunitext , ndani ya siku 4, siku ya 5, nika-set a date akaja.

Tukakutana kwenye mgahawa mzuri, mimi nikaagiza sprite yeye akaagiza juisi, nikamweleza nia yangu, akaonesha kukubaliana na mimi, baada ya hapo akanisindikiza..nikasepa.

Sasa nikamwambia aje gheto kwangu apajue alisema atakuja baada ya wiki 1, kabla ya hiyo siku ya yeye kuja gheto kufika, akanitext akaniambia ana shida ya tsh elf 10 nimtumie, nikamwambia asijali, akija gheto intampa zaidi ya hiyo Tsh. elf 10, akasema hapana anaihitaji kwa muda huo.

Nikamwambia akope sehemu ingine akija gheto hata tsh elf 40 nitampa na nauli nitamrudishia mara mbili yake..kiuhalisia mimi uwezo wa kumpa hata tsh elf 70 nilikuwa nao, akasema haya.

Tangu siku hiyo alinichunia, SMS zangu hakujibu tena, simu zangu hapokei, na gheto hakuja tena sasa wazee mimi kosa langu lilikuwa nini hapo, maana hata nlivyomtongoza nilienda kawaida, sikujifanya nina hela.
 
Jamaa kauzu sana eti kopa ila ukija nitakupa zaidi, dada akajua huyu anataka akanigegede kabla jua halijazama. Nimecheka sana aisee, na hawa madada mapema mapema unaanza kutangaza njaa yani hata hatujamaliza mwezi ushaanza nitangazia shida haki.

Nakumbuka siku moja nilikuwa na jamaa yangu flani tukaingia ofisi flani tukamkuta mdada mrembo anaonekana ana vijisenti basi jamaa yangu akachukua namba yake na dada alianza mshobokea kisa jamaa eti foreigner madada na maforeigner sijui waliwapa nini.

Wakaexchange namba jamaa akawa anjisifia huyu dada ana kazi yake anaonekana ana hadhi yake ndo madada wa kutoka nao. Haikupita siku mbili eti jamaa anaambiwa atoe laki 3 sijui kwa ajili ya bday ya mama yake huyo dada, jamaa akamchana bila kupepesa macho kuwa yani siku ya tatu ashaanza kutangaza njaa kama anajiuza aseme.
 
Jamaa kauzu sana eti kopa ila ukija nitakupa zaidi, dada akajua huyu anataka akanigegede kabla jua halijazama. Nimecheka sana aisee, na hawa madada mapema mapema unaanza kutangaza njaa yani hata hatujamaliza mwezi ushaanza nitangazia shida haki.
Hahaaa now days Dada zetu wengi(baadhi,)

Wameamua kuwa omba omba ..wameamua kuwa wauza papuchi pia kwa style ya kujiuza katika simu .. Now days hawajipangi road aisrr
 
Huyo mdada ana takko? Au km huyu hapa chini?
20200730_215130.jpg
 

Attachments

  • 20200811_204949.jpg
    20200811_204949.jpg
    26.4 KB · Views: 5
Huyu mdada nlikutana nae kwenye sherehe ya harusi ya ndugu yangu, kuulizia ulizia, nkatambulishwa kuwa alikua ni family friend wa ndugu yangu tena anaishi jirani na mtaa anaoishi ndugu yangu, alinivutia, nikamwomba namba akakubali, tukawa tunachat, tena cku ingine anaanza yeye kunitext , ndani ya

Mimi Kuna Mmoja Nimetoka Kumla Ivo Ivo... Alinambia Anaomba Elfu 20 Nkamwambia Hapa Nna 10 Nyingine Ntakupa Tukikutana, Akakubali Akajichanganya Siku Alivokuja Ndio Nikamla... Sasa Tatizo Ni Katamu, Hivyo Mzee Mzima Sa Ivii Ni Mwendo Wa Kuonga Tu
 
Back
Top Bottom