Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una umri gani? Yaani umeshindwa kutoa buku 10.. Hujui kuwa hiyo ndio Ilikuwa chambo. Haya sasa demu kasepa, juice yako kanywa na nauli ukampa na Utamu umeukosaHuyu mdada nlikutana nae kwenye sherehe ya harusi ya ndugu yangu, kuulizia ulizia, nkatambulishwa kuwa alikua ni family friend wa ndugu yangu tena anaishi jirani na mtaa anaoishi ndugu yangu, alinivutia, nikamwomba namba akakubali, tukawa tunachat, tena cku ingine anaanza yeye kunitext , ndani ya siku 4, siku ya 5, nika-set a date akaja, tukakutana kwenye mgahawa mzuri, mm nkaagiza sprite yeye akaagiza juisi, nkamweleza nia yangu, akaonesha kukubaliana na mm, baada ya hapo akanisindikiza..nkasepa
Sasa nkamwambia aje gheto kwangu apajue alisema atakuja baada ya wiki 1, kabla ya hio siku ya yeye kuja gheto kufika, akanitext akaniambia ana shida ya tsh elf 10 nimtumie, nkamwambia asijali, akija gheto ntampa zaidi ya hiyo tsh elf 10, akasema hapana anaihitaji kwa muda huo, nkamwambia akope sehemu ingine akija gheto hata tsh elf 40 ntampa na nauli ntamrudishia Mara mbili yake..kiuhalisia mm uwezo wa kumpa hata tsh elf 70 nlikuwa nao, Akasema haya..
Tangu siku hiyo alinichunia, SMS zangu hakujibu tena, simu zangu hapokei, na gheto hakuja tena sasa wazee mm kosa langu lilikuwa nn hapo, maana hata nlivomtongoza nlienda kawaida, sikujifanya Nina hela..
Nahisi anaona Kama ulimchukulia Kama yeye ni wa kudanga danga, maana madem ambao watu hukutana nao kwenye mitandao watu ndio huwafanyia hayo uliyokua ukifanyia huyo dadaHuyu mdada nlikutana nae kwenye sherehe ya harusi ya ndugu yangu, kuulizia ulizia, nkatambulishwa kuwa alikua ni family friend wa ndugu yangu tena anaishi jirani na mtaa anaoishi ndugu yangu, alinivutia, nikamwomba namba akakubali, tukawa tunachat, tena cku ingine anaanza yeye kunitext , ndani ya siku 4, siku ya 5, nika-set a date akaja, tukakutana kwenye mgahawa mzuri, mm nkaagiza sprite yeye akaagiza juisi, nkamweleza nia yangu, akaonesha kukubaliana na mm, baada ya hapo akanisindikiza..nkasepa
Sasa nkamwambia aje gheto kwangu apajue alisema atakuja baada ya wiki 1, kabla ya hio siku ya yeye kuja gheto kufika, akanitext akaniambia ana shida ya tsh elf 10 nimtumie, nkamwambia asijali, akija gheto ntampa zaidi ya hiyo tsh elf 10, akasema hapana anaihitaji kwa muda huo, nkamwambia akope sehemu ingine akija gheto hata tsh elf 40 ntampa na nauli ntamrudishia Mara mbili yake..kiuhalisia mm uwezo wa kumpa hata tsh elf 70 nlikuwa nao, Akasema haya..
Tangu siku hiyo alinichunia, SMS zangu hakujibu tena, simu zangu hapokei, na gheto hakuja tena sasa wazee mm kosa langu lilikuwa nn hapo, maana hata nlivomtongoza nlienda kawaida, sikujifanya Nina hela..
We utakua kunademu unamfukuzia humu.Kama ulikuwa tayari kumpa hata 70
Why usingemtumia hiyo 10?
Asingekuja ingekuwa hasara kwake Kwa kukosa 70..na faida kwako Kwa mpigaji kujipunguza mwenyewe
Afu unaweza kuta hiyo hela anaenda lipia card doublena hela ya gesti, ili aende na jamaa ake.Umesahau na kale kamtindo kao ka kusingizia ana harusi ya Dada au mdogo wake hvyo anaomba umpe sapoti kidogo.
Hiv harusi ya ndugu yake mi ndy nitoe mchango wakajipikie wakale wao mi nibaki nabungaaa tuuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ex wangu 15k tu hajaniona mpaka leooo...!!Hi wiki Kama ningetoa Hera kote nlikopigwa vibomu
Ningekua nmetoa shilling 200000
"Kimbia fasta, toka nduki we kimbia.."Huyu mdada nlikutana nae kwenye sherehe ya harusi ya ndugu yangu, kuulizia ulizia, nkatambulishwa kuwa alikua ni family friend wa ndugu yangu tena anaishi jirani na mtaa anaoishi ndugu yangu, alinivutia, nikamwomba namba akakubali, tukawa tunachat, tena cku ingine anaanza yeye kunitext , ndani ya siku 4, siku ya 5, nika-set a date akaja, tukakutana kwenye mgahawa mzuri, mm nkaagiza sprite yeye akaagiza juisi, nkamweleza nia yangu, akaonesha kukubaliana na mm, baada ya hapo akanisindikiza..nkasepa
Sasa nkamwambia aje gheto kwangu apajue alisema atakuja baada ya wiki 1, kabla ya hio siku ya yeye kuja gheto kufika, akanitext akaniambia ana shida ya tsh elf 10 nimtumie, nkamwambia asijali, akija gheto ntampa zaidi ya hiyo tsh elf 10, akasema hapana anaihitaji kwa muda huo, nkamwambia akope sehemu ingine akija gheto hata tsh elf 40 ntampa na nauli ntamrudishia Mara mbili yake..kiuhalisia mm uwezo wa kumpa hata tsh elf 70 nlikuwa nao, Akasema haya..
Tangu siku hiyo alinichunia, SMS zangu hakujibu tena, simu zangu hapokei, na gheto hakuja tena sasa wazee mm kosa langu lilikuwa nn hapo, maana hata nlivomtongoza nlienda kawaida, sikujifanya Nina hela..
Ni kweli kabisa , mi ndiyo maana swala la pesa kwenye mapenzi ni maji na mafuta, likishaanza swala la yeye kutaka hela naongea tu vizur kwenye simu ila baada ya hapo hakutakua tena na mawasilianoAfu unaweza kuta hiyo hela anaenda lipia card doublena hela ya gesti, ili aende na jamaa ake.
ila michepuko kama kawa[emoji2][emoji2][emoji2]Swali gani hilo? Mtoto wangu ndio anakaribia kuoa mie nimeoa miaka mingi sana iliyopita
Dogo kauzu kweli, anataka ale kwanza ndo atoe hiyo buku 10. Na huenda angemkopa dada wa watu.Ungemtumia tu hiyo 10k alafu ungeona Nini kingeendelea
YaanUlivyomwambia akope ndo ukazingua hapo ..
Hawa inabidi tuwapeleke seminaUna umri gani? Yaani umeshindwa kutoa buku 10.. Hujui kuwa hiyo ndio Ilikuwa chambo. Haya sasa demu kasepa, juice yako kanywa na nauli ukampa na Utamu umeukosa
Naunga mkono hojaAsilimia 93 ya wanawake ni ma-gold digger, tofauti yao ni hawajiuzi barabarani.
Mkuu Sahv Bila hela K chache Sana ndo utazila Tena za Vibungo ...Hahahahah hawa wadude papuchi wamezigeuza mitaji. Yani ukigoma kutoa hela inakula kwako!