Huyu mdada anavyonichunia baada ya kumwambia hivi, kosa langu ni nini?

Huyu mdada anavyonichunia baada ya kumwambia hivi, kosa langu ni nini?

Shida sio kutoa hela, mimi sio mchoyo wala sio mbahili, ila unajua baadhi ya nyie wadada MNA tabia moja, kuna game mnacheza makusudi kabisa tena mkiwa na nia mbaya, unatongozwa na mkaka, kichwani kwako unajua kabisa kuwa moyo wako haumpendi huyo kaka na hujavutiwa nae kingono, ila unajifanya umemkubali ili ukimuomba hela mara kwa mara asikushtukie, na unajua kabisa kuwa huyu MTU anavonipa hela anategemea sex in return, ila kwa vile ushaamua kuwa humpi papuchi, hivyo unakula hela zake weee, huku akikuita gheto unampiga kalenda..kwa kisingizio kuwa uko busy, au bado mapema sana, au msubiri mpaka ndoa ndo mfanye..mpaka mwanaume aje kushtuka kuwa hapendwi na ametapeliwa, utakuta laki 8 ishamtoka na papuchi hajapata, sasa si hasara iyo kwa mwanaume..

Wakati ww ukila pesa za boya, utakuta una mwanaume unaempenda , ambae unampa papuchi ya bure kwa muda wowote anaoutaka, SHIT!! tena utakuta hela unazochuna huku unaenda MPA huyo mwanaume unaempenda.. Tuttyfruity Jael yna2

Huu ubwege sasa demu nenda nae chap kwa haraka achana na uzamani zamani, demu mgumu wa papuchi achana nae, jitahidi mkutane viwanja anavyovipenda kutoka, uwe na pesa, mdomo, mobility na flexibility then ulalamike hapo unakuwa kidampa sana!! Mwamba uwe Mwamba
 
Jamaa kauzu sana eti kopa ila ukija nitakupa zaidi, dada akajua huyu anataka akanigegede kabla jua halijazama. Nimecheka sana aisee, na hawa madada mapema mapema unaanza kutangaza njaa yani hata hatujamaliza mwezi ushaanza nitangazia shida haki.

Nakumbuka siku moja nilikuwa na jamaa yangu flani tukaingia ofisi flani tukamkuta mdada mrembo anaonekana ana vijisenti basi jamaa yangu akachukua namba yake na dada alianza mshobokea kisa jamaa eti foreigner madada na maforeigner sijui waliwapa nini.

Wakaexchange namba jamaa akawa anjisifia huyu dada ana kazi yake anaonekana ana hadhi yake ndo madada wa kutoka nao. Haikupita siku mbili eti jamaa anaambiwa atoe laki 3 sijui kwa ajili ya bday ya mama yake huyo dada, jamaa akamchana bila kupepesa macho kuwa yani siku ya tatu ashaanza kutangaza njaa kama anajiuza aseme.
Aisee
 
Siku nyingine ujiongeze. Alikuomba hiyo elfu kumi ili atumie kama nauli na pia hata anunue chupi mpya ya kujia gheto kwako. Sio kila mzinga unaopigwa ni kuchunwa zingine ni gharama za maandalizi ya mpambano. Sasa we hujui kuwa alitakiwa kununua chupi mpya 5000, Nauli bodaboda 3000, Shaver ya kunyolea sirini 1500, vocha 500. Hapo mwekundu umeisha na hela yote ametumia kwa ajili ya kuja kukupa papuchi na abakiwi hata na chenji ya kunywa maji ndogo.

Kwa ubahili wako ni nyeto tu ndio inapaswa kuwa starehe yako kuu. Mademu waachie wanaojitambua

By Funzadume
Mzinzi Mstaafu

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mimi Kuna Mmoja Nimetoka Kumla Ivo Ivo... Alinambia Anaomba Elfu 20 Nkamwambia Hapa Nna 10 Nyingine Ntakupa Tukikutana, Akakubali Akajichanganya Siku Alivokuja Ndio Nikamla... Sasa Tatizo Ni Katamu, Hivyo Mzee Mzima Sa Ivii Ni Mwendo Wa Kuonga Tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu mdada nlikutana nae kwenye sherehe ya harusi ya ndugu yangu, kuulizia ulizia, nkatambulishwa kuwa alikua ni family friend wa ndugu yangu tena anaishi jirani na mtaa anaoishi ndugu yangu, alinivutia, nikamwomba namba akakubali, tukawa tunachat, tena cku ingine anaanza yeye kunitext , ndani ya siku 4, siku ya 5, nika-set a date akaja, tukakutana kwenye mgahawa mzuri, mm nkaagiza sprite yeye akaagiza juisi, nkamweleza nia yangu, akaonesha kukubaliana na mm, baada ya hapo akanisindikiza..nkasepa

Sasa nkamwambia aje gheto kwangu apajue alisema atakuja baada ya wiki 1, kabla ya hio siku ya yeye kuja gheto kufika, akanitext akaniambia ana shida ya tsh elf 10 nimtumie, nkamwambia asijali, akija gheto ntampa zaidi ya hiyo tsh elf 10, akasema hapana anaihitaji kwa muda huo, nkamwambia akope sehemu ingine akija gheto hata tsh elf 40 ntampa na nauli ntamrudishia Mara mbili yake..kiuhalisia mm uwezo wa kumpa hata tsh elf 70 nlikuwa nao, Akasema haya..

Tangu siku hiyo alinichunia, SMS zangu hakujibu tena, simu zangu hapokei, na gheto hakuja tena sasa wazee mm kosa langu lilikuwa nn hapo, maana hata nlivomtongoza nlienda kawaida, sikujifanya Nina hela..
Kijana kwani elfu 10 ungempa ungepungukiwa nini?
Ungempa tu huwezi jua huenda alikuwa na shida ya muhimu sana.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ex wangu 15k tu hajaniona mpaka leooo...!!
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] mkuu
Screenshot_20200811-205227~2.jpg
 
Hahaha....
Afternoon is good from this comment
Mkuu sitanii
Kuna mmja akasem anaomba laki moja[emoji2][emoji2][emoji2][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15] nkacheeeka
Wapili kasema 50000
Ile sijakaa sawa mwingine 50[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Shida sio kutoa hela, mimi sio mchoyo wala sio mbahili, ila unajua baadhi ya nyie wadada MNA tabia moja, kuna game mnacheza makusudi kabisa tena mkiwa na nia mbaya, unatongozwa na mkaka, kichwani kwako unajua kabisa kuwa moyo wako haumpendi huyo kaka na hujavutiwa nae kingono, ila unajifanya umemkubali ili ukimuomba hela mara kwa mara asikushtukie, na unajua kabisa kuwa huyu MTU anavonipa hela anategemea sex in return, ila kwa vile ushaamua kuwa humpi papuchi, hivyo unakula hela zake weee, huku akikuita gheto unampiga kalenda..kwa kisingizio kuwa uko busy, au bado mapema sana, au msubiri mpaka ndoa ndo mfanye..mpaka mwanaume aje kushtuka kuwa hapendwi na ametapeliwa, utakuta laki 8 ishamtoka na papuchi hajapata, sasa si hasara iyo kwa mwanaume..

Wakati ww ukila pesa za boya, utakuta una mwanaume unaempenda , ambae unampa papuchi ya bure kwa muda wowote anaoutaka, SHIT!! tena utakuta hela unazochuna huku unaenda MPA huyo mwanaume unaempenda.. Tuttyfruity Jael yna2

Mbona laki 8 ni pesa ya date moja tu bro 😂😂 tafuta wanawake wa levo zako
 
mmekutana mbona[emoji2][emoji2]
Hivi hii fashion ya njoo upajue kwangu mmeitoaga wapi wanaume? mtu hamjajuana hata wiki tayari njoo upajue kwangu
Haha ndo kauli zao hizi atakuambia ni muhimu kufahamiana kila mmoja anapoishi , ukienda hauna chako tena .
 
Mbona laki 8 ni pesa ya date moja tu bro 😂😂 tafuta wanawake wa levo zako

Hakuna mwanaume kijana Tanzania anaeza mpeleka Mwanamke date ya tsh laki 8, na mzigo hajala, labda Yusuf bakhresa, odds za ww mdada kukutana na wanaume kama hao ni 1 in a billion, kuwa realistic Tuttyfruity
 
Hapana mm nikitoa K ni genye tu sio nna shida ya pesa. Kwetu hatuna njaa, nafanya kazi na biashara zangu. Ukinihonga ni kama unamwaga maji baharini hivi. Baba yangu kila nikimtumia msg ya asubuhi njema anantumia vocha. Ili kuniepusha na mafisi kama wewe
Aahahhaa Naomba Nije Pm

One love
 
Inamaana kosa lako ulijui mpaka hapo mkuu au unajitoa ufahamu2
 
Back
Top Bottom