Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hahahah umenikumbusha mbali sana hapo kwenye "vibungo"Mkuu Sahv Bila hela K chache Sana ndo utazila Tena za Vibungo ...
One love
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahah umenikumbusha mbali sana hapo kwenye "vibungo"Mkuu Sahv Bila hela K chache Sana ndo utazila Tena za Vibungo ...
One love
Haha ndo kauli zao hizi atakuambia ni muhimu kufahamiana kila mmoja anapoishi , ukienda hauna chako tena .
Siku nyingine ujiongeze. Alikuomba hiyo elfu kumi ili atumie kama nauli na pia hata anunue chupi mpya ya kujia gheto kwako. Sio kila mzinga unaopigwa ni kuchunwa zingine ni gharama za maandalizi ya mpambano. Sasa we hujui kuwa alitakiwa kununua chupi mpya 5000, Nauli bodaboda 3000, Shaver ya kunyolea sirini 1500, vocha 500. Hapo mwekundu umeisha na hela yote ametumia kwa ajili ya kuja kukupa papuchi na abakiwi hata na chenji ya kunywa maji ndogo.
Kwa ubahili wako ni nyeto tu ndio inapaswa kuwa starehe yako kuu. Mademu waachie wanaojitambua
By Funzadume
Mzinzi Mstaafu
Halafu wa kuomba buku anaharibu hata dhana nzima ya udangaji.Acha mkuu,YAANI mamboo!
Naomba buku
Hahahaaa noumaaaHalafu wa kuomba buku anaharibu hata dhana nzima ya udangaji.
Naweza kumkatalia kwa sababu kanionesha dharau kuniomba hela ndogo hivyo!
Kuna siku nilikuwa likizo Dar, wadogo zangu wananitembeza clubs za Dar, sasa tumezunguka tumeishia hapa Shoppers Plaza kwa juu pale US Embassy upande wa pili.
Sasa tumefurahi, tumecheza muziki, tumekunywa, tunatoka.
Ile natoka, baunsa kama kaninusa nina hela, kanililia shida.
Wenzake wakawa wanamzodoa. Mimi huwa najiuliza maswali mawili tu nikiombwa hela.
Ninaweza kusaidia? N akama ninaweza anayeniomba anastahili kusaidiwa?
Maana siwezi kutoa kama sina au nimebanwa, na pia, siwezi kutoa kwa mtu asiyestahili au ambaye anaweza kujidunga madawa.
Basi, hela nilikuwa nayo - wadogo zangu waliniambia "your money is no good here, tutakulipia kila kitu kaka mkubwa ufurahi likizo"-. Nikajipapasa nikakuta nina elfu kumi kumi tupu, nikampa elfu kumi baunsa.
Akafurahi.
Sasa mtu anayetembea na elfu kumi kumi tupu kama hivyo, kuanza kumuomba elfu anaweza kuona umemshusha daraja 🙂
Bahili balaa, afu ubahili wake wa kipuuzi. Ni heri angetafuta namna ya kumnyima au angemute bila kujibu hiyo msg (kama ilikuwa ni msg kuliko utopolo aliomwambia huyo dada.Bahili sana huyu!
Bahili balaa, afu ubahili wake wa kipuuzi. Ni heri angetafuta namna ya kumnyima au angemute bila kujibu hiyo msg (kama ilikuwa ni msg kuliko utopolo aliomwambia huyo dada.
Nina uhakika huyo dada kakuona bonge moja la kolo AlphaMale
Duh kweli huu ndiyo uchumi wa kati, yaani sh 10,000 hadi aifate umpige miti weee, vipi siku ukimpa hata laki 1, nahisi utataka uondoke nayo😀😀, huenda kweli alikwama na alihitaji msaada wako, msifikirie kupigwa pesa mda wote jamani.
Ni kweli kabisaNahisi anaona Kama ulimchukulia Kama yeye ni wa kudanga danga, maana madem ambao watu hukutana nao kwenye mitandao watu ndio huwafanyia hayo uliyokua ukifanyia huyo dada
Shida ya under 20 ndo hii, mwenyewe kimoja nimekichomolea hivo hivoHuyu mdada nlikutana nae kwenye sherehe ya harusi ya ndugu yangu, kuulizia ulizia, nkatambulishwa kuwa alikua ni family friend wa ndugu yangu tena anaishi jirani na mtaa anaoishi ndugu yangu, alinivutia, nikamwomba namba akakubali, tukawa tunachat, tena cku ingine anaanza yeye kunitext , ndani ya siku 4, siku ya 5, nika-set a date akaja, tukakutana kwenye mgahawa mzuri, mimi nikaagiza sprite yeye akaagiza juisi, nkamweleza nia yangu, akaonesha kukubaliana na mm, baada ya hapo akanisindikiza..nkasepa
Sasa nkamwambia aje gheto kwangu apajue alisema atakuja baada ya wiki 1, kabla ya hio siku ya yeye kuja gheto kufika, akanitext akaniambia ana shida ya tsh elf 10 nimtumie, nkamwambia asijali, akija gheto ntampa zaidi ya hiyo Tsh. elf 10, akasema hapana anaihitaji kwa muda huo, nkamwambia akope sehemu ingine akija gheto hata tsh elf 40 ntampa na nauli ntamrudishia Mara mbili yake..kiuhalisia mm uwezo wa kumpa hata tsh elf 70 nlikuwa nao, Akasema haya.
Tangu siku hiyo alinichunia, SMS zangu hakujibu tena, simu zangu hapokei, na gheto hakuja tena sasa wazee mm kosa langu lilikuwa nn hapo, maana hata nlivomtongoza nlienda kawaida, sikujifanya Nina hela..
Vibungo hawanaga Cha kupoteza kwao kila kitu n fursaHahahah umenikumbusha mbali sana hapo kwenye "vibungo"
Kwaio mtu asipopewa 10,000 anakua haaminiki?Elfu 10 ilikushinda ? Ungempa tu mkuu hata angepotea sio mbaya!
Mdada anakuona msanii
Anaona humuamini
Anaona unataka kumfanya ndo maana unafoc aje ghetto
Ya kuitana geto ndo hatujalogwa? Acheni haraka na mabinti hawatokuwa na haraka.Mahusiano ya kuombana pesa sijui watz mmelogwa nayo?