Huyu mdada anavyonichunia baada ya kumwambia hivi, kosa langu ni nini?

Huyu mdada anavyonichunia baada ya kumwambia hivi, kosa langu ni nini?

Huyo wa 10k tu unachichima hivyo ni wazi unadumisha na kutekeleza kwa vitendo Irani ya wanaume safi sana
 
Una umri gani?
Umem-treat vibaya, ameelewa kabisa hiyo nia yako ovu.
Jifunze namna bora ya kumtreat mwanamke.
Huyu mdada nlikutana nae kwenye sherehe ya harusi ya ndugu yangu, kuulizia ulizia, nkatambulishwa kuwa alikua ni family friend wa ndugu yangu tena anaishi jirani na mtaa anaoishi ndugu yangu. Alinivutia, nikamwomba namba akakubali, tukawa tunachat, tena siku ingine anaanza yeye kunitext , ndani ya siku 4, siku ya 5, nika-set a date akaja

Tukakutana kwenye mgahawa mzuri, mimi nikaagiza sprite yeye akaagiza juisi, nkamweleza nia yangu, akaonesha kukubaliana na mimi, baada ya hapo akanisindikiza..nkasepa

Sasa nikamwambia aje gheto kwangu apajue alisema atakuja baada ya wiki 1, kabla ya hiyo siku ya yeye kuja gheto kufika, akanitext akaniambia ana shida ya tsh elf 10 nimtumie, nkamwambia asijali, akija gheto ntampa zaidi ya hiyo Tsh. elf 10, akasema hapana anaihitaji kwa muda huo

Nikamwambia akope sehemu ingine akija gheto hata tsh elf 40 ntampa na nauli ntamrudishia Mara mbili yake..kiuhalisia mm uwezo wa kumpa hata tsh elf 70 nlikuwa nao, Akasema haya.

Tangu siku hiyo alinichunia, SMS zangu hakujibu tena, simu zangu hapokei, na gheto hakuja tena sasa wazee mm kosa langu lilikuwa nn hapo, maana hata nlivyomtongoza nlienda kawaida, sikujifanya Nina hela..
 
Acheni kujitetemesha nyie vijana, toeni hela...
Ugumu ni pale unapojiuliza, hizo shida huwa anatatuaje kama hakuna wa kumbomu? Au ndo ujasiriamali? Ukitongozwa, unageuza ajira?
 
Wewe boya kweli kabisa Yani akope akija kwako utampa na unauwezo wakumpa boya mkubwa
 
Mademu siku hizi hawanyimi namba, ukimtongoza tu tayari anasikia njaa hapo hapo.... na mama’ke anaumwa!
 
Hivi hawa wasichana wa siku hizi mama zao ndio wanawafundisha ujinga..kuwa na mtu wa maana indirect mwenye fwedha
 
Ameona kua hukumuamini kumtumia hiyo elfu 10
Kama ulikua na uwezo hata wakumpa elfu 70 kwanini hukumtumia hiyo elfu 10 aliyokuomba?
Amejiridhisha kua wewe humuamini japo uamuzi wake ni wa haraka sana na ni mapema sana.

Lakini that is too much! Second date tayari kaja na mzinga wa ten! Jamaa ana haki ys kumnyima, wanawake wapunguze kuomba omba pesa.
 
Haha ndo kauli zao hizi atakuambia ni muhimu kufahamiana kila mmoja anapoishi , ukienda hauna chako tena .
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]kwani utaiacha huko?
 
Yesu Kristen alisema ikiwa mmekosa uaminifu kwa jambo dogo. Itakuwaje kwa makubwa
 
Huyu mdada nlikutana nae kwenye sherehe ya harusi ya ndugu yangu, kuulizia ulizia, nikatambulishwa kuwa alikuwa ni family friend wa ndugu yangu tena anaishi jirani na mtaa anaoishi ndugu yangu. Alinivutia, nikamwomba namba akakubali, tukawa tunachat, tena siku ingine anaanza yeye kunitext , ndani ya siku 4, siku ya 5, nika-set a date akaja

Tukakutana kwenye mgahawa mzuri, mimi nikaagiza sprite yeye akaagiza juisi, nikamweleza nia yangu, akaonesha kukubaliana na mimi, baada ya hapo akanisindikiza..nikasepa

Sasa nikamwambia aje gheto kwangu apajue alisema atakuja baada ya wiki 1, kabla ya hiyo siku ya yeye kuja gheto kufika, akanitext akaniambia ana shida ya tsh elf 10 nimtumie, nikamwambia asijali, akija gheto intampa zaidi ya hiyo Tsh. elf 10, akasema hapana anaihitaji kwa muda huo

Nikamwambia akope sehemu ingine akija gheto hata tsh elf 40 nitampa na nauli nitamrudishia mara mbili yake..kiuhalisia mimi uwezo wa kumpa hata tsh elf 70 nilikuwa nao, akasema haya.

Tangu siku hiyo alinichunia, SMS zangu hakujibu tena, simu zangu hapokei, na gheto hakuja tena sasa wazee mimi kosa langu lilikuwa nini hapo, maana hata nlivyomtongoza nilienda kawaida, sikujifanya nina hela..
Amekuona hauna malengo nae na pesa pia hauna yani elfu 10 tu imekushinda ? Ukiingia kwa style iyo tenga pesa ya kuonga!!
 
Haya mambo ungeyaanza zamani, usingekuja kutukalisha hapa. Kuwa mwanaume, mjusi guruguja we
 
Huyu mdada nlikutana nae kwenye sherehe ya harusi ya ndugu yangu, kuulizia ulizia, nikatambulishwa kuwa alikuwa ni family friend wa ndugu yangu tena anaishi jirani na mtaa anaoishi ndugu yangu. Alinivutia, nikamwomba namba akakubali, tukawa tunachat, tena siku ingine anaanza yeye kunitext , ndani ya siku 4, siku ya 5, nika-set a date akaja

Tukakutana kwenye mgahawa mzuri, mimi nikaagiza sprite yeye akaagiza juisi, nikamweleza nia yangu, akaonesha kukubaliana na mimi, baada ya hapo akanisindikiza..nikasepa

Sasa nikamwambia aje gheto kwangu apajue alisema atakuja baada ya wiki 1, kabla ya hiyo siku ya yeye kuja gheto kufika, akanitext akaniambia ana shida ya tsh elf 10 nimtumie, nikamwambia asijali, akija gheto intampa zaidi ya hiyo Tsh. elf 10, akasema hapana anaihitaji kwa muda huo

Nikamwambia akope sehemu ingine akija gheto hata tsh elf 40 nitampa na nauli nitamrudishia mara mbili yake..kiuhalisia mimi uwezo wa kumpa hata tsh elf 70 nilikuwa nao, akasema haya.

Tangu siku hiyo alinichunia, SMS zangu hakujibu tena, simu zangu hapokei, na gheto hakuja tena sasa wazee mimi kosa langu lilikuwa nini hapo, maana hata nlivyomtongoza nilienda kawaida, sikujifanya nina hela..
Bora tu hujatuma na amekupunguzia mengi na makubwa zaidi usijilaumu mkuu
 
Enhe nambie inakuwaje ?
Imagine jamaa ameniita niende kwake sisi ni marafiki hatuna uhusiano wa kimapenzi wala nini kufika kwake jamaa anaomba mzigo unakataa mwisho wa siku unakubali hivyo hivyo tena hauna jinsi

Sasa hapo ndo shida inatokea maana hukuwa na mpango wa kutoka na huyo mtu ila ndo hivyo ishatokea ,kikubwa ni kukutana sehemu wazi na sio zilizo jificha kuondoa mambo hayo .
 
nilipomwambia tu kwamba namtaka, hapohapo akaniomba nimpe pesa ya vocha wakati mie ndio nimechukua namba zake. Nikamjibu nitapiga Mimi, akanambia nipe pesa ya kula basi!!.nikamjibu sina sasa hivi nitakurushia baadae. Hadi Leo sijamfuatilia tukikutana najifanya nipo busy.
 
Back
Top Bottom