Huyu mdada anavyonichunia baada ya kumwambia hivi, kosa langu ni nini?

Huyu mdada anavyonichunia baada ya kumwambia hivi, kosa langu ni nini?

Jamaa kauzu sana eti kopa ila ukija nitakupa zaidi, dada akajua huyu anataka akanigegede kabla jua halijazama. Nimecheka sana aisee, na hawa madada mapema mapema unaanza kutangaza njaa yani hata hatujamaliza mwezi ushaanza nitangazia shida haki.
Aisee nimecheka balaa😂😂😂
 
We ungetuma pesa asipotokea unawapigia muamala umesosea pesa yako inarudi hata km atawai kuitoa
Siku akiweka pesa wakurugwa wanakata juu kwa juu
 
Wewe nahisi utakuwa mhenga kama mimi ndio maana ukashtukia mchezo,sisi enzi zetu unaombwa hela baadaye kabisa huko,ila siku hizi kabla ya chochote lazima utangulize hela...
Kishika uchumba wanakiomba mapema kabisa😅
 
Tabu zoote za ninii nduugu yangu, we jichukuliee sheria mkononi tu, unajipimia bwawa, kisima, mnato, maji.. Ukimtaka kidawa, zubeda nancy.. Hata beyonce mapema tu.. Unaifinyia kwa ndani.. Wewe tu

Onyo: kujichukulia sheria mkononi ni hatari kwa afya ya ndonga yako
[emoji23]
 
Nakumbuka siku moja nilikuwa na jamaa yangu flani tukaingia ofisi flani tukamkuta mdada mrembo anaonekana ana vijisenti basi jamaa yangu akachukua namba yake na dada alianza mshobokea kisa jamaa eti foreigner madada na maforeigner sijui waliwapa nini.

Wakaexchange namba jamaa akawa anjisifia huyu dada ana kazi yake anaonekana ana hadhi yake ndo madada wa kutoka nao. Haikupita siku mbili eti jamaa anaambiwa atoe laki 3 sijui kwa ajili ya bday ya mama yake huyo dada, jamaa akamchana bila kupepesa macho kuwa yani siku ya tatu ashaanza kutangaza njaa kama anajiuza aseme.
Ebu soma hapa vzr kaka
Sijawahi kupigwa mzinga na demu baada ya kumtongoza!
Unatumia njia gani kukwepa vizinga au wewe ni mchafu sana mkuu kiasi ambacho hata dem anaona kazi kukupiga mzinga
 
Hahaha....
Afternoon is good from this comment
Wewe nae mshamba kweli , yaani elfu kumi unashindwa mtumia !! Huyo alikua anakupima tu ungemtumia hiyo ten angekuja endelea kupiga nyeto boya wewe.. wewe utakua mwanafunzi Nathaniel au ndo umemaliza shule
 
Wewe nae mshamba kweli , yaani elfu kumi unashindwa mtumia !! Huyo alikua anakupima tu ungemtumia hiyo ten angekuja endelea kupiga nyeto boya wewe.. wewe utakua mwanafunzi Nathaniel au ndo umemaliza shule
Dogo kayumba mi ningeitoa tu sadaka
 
Are sure?[emoji848][emoji848]

Au mnajipa maujiko humu wanaume
Sikushikii panga wala, you are free to take it or leave it ila haijawahi tokea! Ukiwa mtu wa kushobokea kila pisi lazma ukumbane na zahama😂
 
Back
Top Bottom