Vhagar
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 20,550
- 39,949
Unaweza kuta dada mwenyewe mvuto hana.😀🚶🚶Sahii kabisa,
Ila amtege TU na sio afanye serious [emoji4]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza kuta dada mwenyewe mvuto hana.😀🚶🚶Sahii kabisa,
Ila amtege TU na sio afanye serious [emoji4]
Siwezi kufanya ivo nipe mbinu nyingine 🙁Kesi Kama hizo, Tumia TU akili dada angu.
Nakupa mbinu,
Wee mwnyw Kama dada ake jaribu kukaa kihasara hasara kdg Kama unamtega kingono uone atarespond vipi.
(NB: Sio kwa Nia ya kusex nae,
Bali kwa Lengo zuri tu la kumstua hisia zake.)
Ukiona,
Hamna response wasiliana na wazee wamuwaishe hospitali haraka Sana.
Mwanaume alokamilika akiona maungo flani flani hayajakaa mahala pake,
lazma tu adinde hata Kama Ni ndugu mapacha wa kuzaliwa tumbo moja[emoji4]
Hakuna haja ya kutegana mkuu,Sahii kabisa,
Ila amtege TU na sio afanye serious [emoji4]
Sio ivo dunia ya sasa watoto wanaharibikiwa sna asa watoto wa kiume. Lengo langu ni zuri tu kwake. Siezi kubali kuona mdogo wngu anaharibikiwaYni jamii ndo ilipofikia hapa kuhalalisha zinaa wanaona ni kitu cha kawaida mno kma ww ushazoea ayo mambo ni maisha yako ulojichagulia muache dogo ana khofu ya Mungu huyo
Dunia ya leo ilipofikia
ukiacha kutenda.dhambi unaonekana mshamba
Miaka 29 bado mdogo sana mm nlisnza na 24Nna mdogo wngu wa kiume ana miaka 19. Handsome ana akili. Watoto wa kike hawaishi kujigonga wanamfata hadi nyumbani kisingizio wanakuja kusoma. Watoto wazurii wanamfata lakin hakuna ata goli kutoka kwa mdogo wngu 🙁
Kuna kipndi nilikua nikimkuta na msichana nawaambia wote kwa pamoja "mnapendeza sna mkiwa couple" nafanya yote hya mdogo apige hatua lakin wapi hamna ktu . Nilishawahi mpk kumwambia msichana mmoja kua mdogo wngu anakupenda ila anaogopa kukwambia. Yule mtoto akamwambia lakn mdogo wangu akamkatalia ati sio kweli mpk yule mtoto akaacha kabisa kuwasilana nae na nyumbani akaacha kuja
Ukiongea nae kuhusu swala ili anakua mkali ananambia kwan we huna maisha yko mpk unafatilia yngu niache na maisha yangu kla kitu kina mda wake!!
Mimi lengo langu ata sio ati aanzishe uhusiano wa kudumu nataka tu kwa umri wke ajichanganye na wasichana apige tu mechi yaishe. Lakin yee hataki kabisa kusikia habari hizo. Nashangaa sna na kwa umri wke hormones ndo zinakua ktk peak lakin yee yko tofauti kabisa. Hivi mwanaume aliekamilika anaeza kukaa na wanawake wazuri halafu asifanye kitu? Au nifanyaje ili na yeye aweze kujichanganya na watoto wa kike?
Unasahau mimi ni ndugu yke akiharibikiwa yeye nimeharibikiwa mimiMambo yake mwachie mwenyewe
😂😂😂😂unaweza kuta dada mwenyewe mvuto hana.😀🚶🚶
Na hii ndio point ya mleta madaHuyu mtu ana point Ila watu sijui hawamwelewi, dogo inawezekana akawa siyo ridhiki ndiyo wasiwasi wake.
Wala sio introvert ni muongeaji na mchangamfu sana na ni mtu wa kujichanganya lakin sio na jinsia ya kikekwamba una wasiwasi? kupanga ni kuchagua mwache aishi alivyochagua.
swali; ni introvert huyo mdogo wako?
Tupia tuone picha yako nikutatulie mkwamo wakoUnasahau mimi ni ndugu yke akiharibikiwa yeye nimeharibikiwa mimi
Watu wanajifanya hawaelewi mbaya zaidi kuna siku tulikua tunazungumzia kuhusu kuoa akasema "sitakuja kuoa kwanza I don't believe in love" pia siku nyingine akarepost instastory ya rafiki amempost anacheza nikagundua movements zke hazipo normal lakin sitaki kuamini chochote kibaya kuhusu yeye nataka niamini tu ni makuzi yke ndo yapo ivoHuyu mtu ana point Ila watu sijui hawamwelewi, dogo inawezekana akawa siyo ridhiki ndiyo wasiwasi wake.
We nae mnataka niongee vitu ambavo nilikua sitaki kuandika hapa. Ukikaa nae kuna mda unaona kabisa anajaribu kucontrol mimics zke lakin saa nyingine anashindwa zinatokea tu automatic. Kama tatizo lingekua ni Kutokua na girlfriend tu nisinge umiza kichwamleta mada wee ni ke au me? ko kisa mdogo wako hana time na mademu ndo unataka umsingizie ni shoga? una mawazo potofu kingese, unastahili ugongwe makofi, akili zikukae sawa.
kwani kuna shida gani asipokuwa na demu? ilimradi mashine inafanya kazi.
Ila JF bhana 😂Dogo ana miaka 19 na ni mdogo wako kabisa hivyo wewe una miaka 21.
Achana na ushauri wa wadau hapo juu, kama upo Tukuyu nipe namba zako tuyajenge.
Mdogo wake ana umri wa miaka 19 hivyo yeye atakuwa juu miaka 2 hapo ukijumuisha umri wa mlete Mada sawa na miaka 21.Ila JF bhana 😂
Umetumia kigezo gani kujua umri wa mleta mada?