EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Tumeshachoka kuamua ugomvi JF juzi kuna mmoja kamtia mwenzake vidole sehemu mbaya sana we imagine anamuingiza mwenzake kidole jichoniUpuuzi itakuwa kajifunzia kwa kaka yake ndio maana ana guts za kumuandikia yeye hivyo, mbona sisi hawatuandikii hivyo!!
Non sense teachers au huyo mwanafunzi mwenyewe? Huku shuleni wapo wanafunzi wanaojitambua mbona huulizi wamefundishwa na naniHatari sana.
Non sense teachers.
Na huyo dogo mwakani Form 5 ataingia
😂😂Huu uandishi bahati mbaya hata baadhi ya watu wazima wanautumia dogo hana hatia ni umri unamhukumuXaxa xi umjb kk? Ha ha ha ha ha ha
Mkuu, kiukweli huo ni uandishi wa kipang'ang'a sana. Yeyote akiniandikia hivyo, huwa simjibu.
Kwani kuna mwalimu anaefundisha huo ujingaWazazi wanaingiaje hapo, kwani wao ndo wamemfundish kuandika??
Hao wanaoandika vizuri wamefundishwa na nani?Munahusika kwa 200%
Nikiwa darasa la 3 mwalimu wa Kiswahili alitufundisha kuandika na kuongea vizuri.
Sasa hivi mpaka walimu wenyewe kuongea vizuri hawajui
Hapo walimu unawasinginzia bure mkuu.Sijaielewa hii message, walimu naombeni mnitafsirie. Huyu dogo yupo kidato cha nne na anategemea kufanya mtihani mwaka huu.
View attachment 3009869
Hapo msamehe tu umri unamfanya aandike hivyo hahusiki mwalimu hapo, mwenyewe dogo mmoja sometimes anaandikaga huu ujinga naonaga uzito kujibu japo kama kitu cha maana lazima nimjibuSijaielewa hii message, walimu naombeni mnitafsirie. Huyu dogo yupo kidato cha nne na anategemea kufanya mtihani mwaka huu.
View attachment 3009869
Duh hatari sana mkuuSijaielewa hii message, walimu naombeni mnitafsirie. Huyu dogo yupo kidato cha nne na anategemea kufanya mtihani mwaka huu.
View attachment 3009869
PROGRAMMER WA BAADAE KWENYE AKILI BANDIASijaielewa hii message, walimu naombeni mnitafsirie. Huyu dogo yupo kidato cha nne na anategemea kufanya mtihani mwaka huu.
View attachment 3009869
Na huyo ameshafeli hata mtihani.Walimu tuna taabu hii nchi🙆🙆🙆
Sasa hapo walimu wanahusikaje? Madaftari yake umekagua ukakuta kaandika huo upuuzi?
Jitahidi tu umuelewe akikua ataacha wengi wetu kama si wote tumepitia huko, walimu hawana kosa lolote!Sijaielewa hii message, walimu naombeni mnitafsirie. Huyu dogo yupo kidato cha nne na anategemea kufanya mtihani mwaka huu.
View attachment 3009869
Wewe ulikuwa unaandika hivyo?kawaida yao watoto wa secondary
Za kayumbakawaida yao watoto wa secondary