Muramwaito
JF-Expert Member
- Feb 13, 2023
- 309
- 620
Me huyu kesha maliza form 4 ni vile ni mdogo Wangu, lakini MTU mwenye uandishi wa Aina hi huwa simzingatii
Nafikiri kuna tatizo kubwa
Nafikiri kuna tatizo kubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazazi wakiambiwa pelekeni shule Watoto za kueleweka hawajali matokeo ya mtoto kusoma kayumba ndio hayoHata tuition hajui kuandika😂😂
Na unamlipia ada kweli?Sijaielewa hii message, walimu naombeni mnitafsirie. Huyu dogo yupo kidato cha nne na anategemea kufanya mtihani mwaka huu.
View attachment 3009869
Mabadiliko yanaanza na wewe na watu walio karibu yako,unaposema unamzingatia huyo kwavile ni mdogo wako ila wengine huwazingatii inakua still bado unasapoti huo uandishi,Me huyu kesha maliza form 4 ni vile ni mdogo Wangu, lakini MTU mwenye uandishi wa Aina hi huwa simzingatii
Nafikiri kuna tatizo kubwa
View attachment 3009880
🙏🙏 Mkuu kwa ushauri mzuri ngojea nianze kuchukua hatuaMabadiliko yanaanza na wewe na watu walio karibu yako,unaposema unamzingatia huyo kwavile ni mdogo wako ila wengine huwazingatii inakua still bado unasapoti huo uandishi,
Anza kumbadilisha huyo mdogo wako kisha nae atabadili wenzake.
Usiwalaumu waalimu.Hakuna mwl. anayefundisha hayo kamwe. Ni ujinga wa mwanafunzi mwenyewe. Anadhani anamwandikia rafiki yake wa kaliba yake.Hatari sana.
Non sense teachers.
Na huyo dogo mwakani Form 5 ataingia
Kiongozi kwani huo ujumbe kaandika mwalimu? Hii "non sense teachers" ndio nini? "Non sense" hii gap nani ajaze au mwalimu wako nae lugha za mataifa zilikuwa shida.Wapumuzisheni walimu asee hii shida ya mtoto na jamaa yake haina link na mwalimu au shule anakosomeaHatari sana.
Non sense teachers.
Na huyo dogo mwakani Form 5 ataingia
Hizi tabia kaziiga kwa wazazi wake!!! Narudia wafuate wazazi wake uwachape viboko kwa kulala chumba kimoja na huyo dudu washa mwenzakoSijaielewa hii message, walimu naombeni mnitafsirie. Huyu dogo yupo kidato cha nne na anategemea kufanya mtihani mwaka huu.
View attachment 3009869
usipomjibu maana yake hujakamilisha maana ya CommunicationXaxa xi umjb kk? Ha ha ha ha ha ha
Mkuu, kiukweli huo ni uandishi wa kipang'ang'a sana. Yeyote akiniandikia hivyo, huwa simjibu.