Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah nilifikiri kafika makunduchi huko kwa mchamba wimaTumeshachoka kuamua ugomvi JF juzi kuna mmoja kamtia mwenzake vidole sehemu mbaya sana we imagine anamuingiza mwenzake kidole jichoni
Mtu akifikia huko kinachotokea ni mauajiDaah nilifikiri kafika makunduchi huko kwa mchamba wima
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Xaxa xi umjb kk? Ha ha ha ha ha ha
Mkuu, kiukweli huo ni uandishi wa kipang'ang'a sana. Yeyote akiniandikia hivyo, huwa simjibu.
Ina kera sana... Mimi nilimwmbia mtoto wa kaka yangu marufuku kuniandika upuuzi mmXaxa xi umjb kk? Ha ha ha ha ha ha
Mkuu, kiukweli huo ni uandishi wa kipang'ang'a sana. Yeyote akiniandikia hivyo, huwa simjibu.
Huyu ningekuwa na namba yake ningemtumia laki tano tu kwa ajili ta tuitionSijaielewa hii message, walimu naombeni mnitafsirie. Huyu dogo yupo kidato cha nne na anategemea kufanya mtihani mwaka huu.
View attachment 3009869
Ila wazazi ndo tunawafundisha?Kwan kwenye madaftar wanafundishwa hivyo? Huo upuuzi wa wazazi ndio mana watoto wenu wanaandika upuuzi
Walaumu wazazi wako kwa malezi ya hovyo.
Endelea kutodhaniSidhani kama uandishi huo unahusiana na malezi mkuu
Philipo anaandika kama mwajuma wa Tandale..mwambie ajichunge watamtafuna.Sijaielewa hii message, walimu naombeni mnitafsirie. Huyu dogo yupo kidato cha nne na anategemea kufanya mtihani mwaka huu.
View attachment 3009869
Mimi niliwahi kukomesha hiyo tabia kwa wadogo zangu wote. Akiandika tu hivyo sijibu akipiga anauliza kama nimeona text namwambia nimeona lakini sielewi.Muandikie msg mwambie marufuku kumtumia msg zenye xxxxxx Kama hawezi kuandika vzr apige vinginevyo atajilaumu
Kuna boda wangu akikuta missed call huwa ananiandikia 'PG' akimaanisha Piga.Dog kanzngua kinym xi unajua ten watot mxameh 2
Kazi kwelikweliSijaielewa hii message, walimu naombeni mnitafsirie. Huyu dogo yupo kidato cha nne na anategemea kufanya mtihani mwaka huu.
View attachment 3009869
Utoto tu. Nadhani huu uandishi ulichochewa na hizi simu za button keypad miaka ya nyuma kidogo.Huo uandishi unatia kinyaa sana, sijui fasheni gani hii nayo....