kibori nangai
JF-Expert Member
- Jan 14, 2015
- 1,430
- 2,130
hahahaaaaaaaaaaaaaSijaielewa hii message, walimu naombeni mnitafsirie. Huyu dogo yupo kidato cha nne na anategemea kufanya mtihani mwaka huu.
View attachment 3009869
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahaaaaaaaaaaaaaSijaielewa hii message, walimu naombeni mnitafsirie. Huyu dogo yupo kidato cha nne na anategemea kufanya mtihani mwaka huu.
View attachment 3009869
Na akiwa wa kiume?Akiwa ni wa kike akianza kuandika izo xxxxx jua kamesha anza kuchezea liboro fc
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah apo mpigie mwambie iwe mwisho kukuandikia ivyo tena watoto wa kiume hawaandiki ivyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo ni slang ya kichina. Mfano xinhua, xinping, Xinjiang, [emoji23][emoji23][emoji23] Dogo atakuwa ameathirika Sana na kichina atakuwa anakijua mno bila Shaka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna siku nachati na wife tukamalizana nikamwambia badae akajibu 'P'. nikamuuliza p ndo nini? hajarudiaga tena huo upuuzi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wenyewe wanaita swaga eti. Halafu tukiviambia hatuelewi hiyo lugha vinatuona washamba sana.
Mtu anakuambia “2O8” kumaanisha “tuonane” upuuzi kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dogo anaonekana mzuri sana kwenye lugha ya kichina muendeleze [emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bora wewe, mimi mdogo wangu ni mwalimu grade A. Kuna siku nilimtolea uvivu nikamwambia wewe utakuwa unafundisha ujinga huko shule. Aliacha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu mmevurugwaa aaahUzao wa 2000+
Ni matokeo ya Arv
P2
Jinti
Vidonge vya uzazi.
Shisha
Nk
Hawana walijualo.
Kizazi hiki kinanyoa Hadi nywele za makalioni kitu ambacho sikuwahi kuona tangu na tangu.
[emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiiKuna mtu yupo chuo,chuo kikuuu cha Dar es salaam,na anaandika pumba kama hizo,huwa najiuliza chuo kikuu kafikaje?
Siaielewa hii message, walimu naombeni mnitafsirie. Huyu dogo yupo kidato cha nne na anategemea kufanya mtihani mwaka huu.
View attachment 3009869
Kwan mwanaume hawi ktk umri wa upuuzi mwingi?Angekuwa wakike nngemuelewa kutokana na kuwa kwenye umri wa upuuzi mwingi, ila kwa kuwa n mwanaume aisee nimechoka [emoji2781]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna boda wangu akikuta missed call huwa ananiandikia 'PG' akimaanisha Piga.
Mimi huwa nikiliona hilo neno haraka akili inanikumbusha PG Clamps au Parental Guidance.
Wee mwenyewe ni wale wale, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 3010314Me mwenyewe hukiandika hivi lazima ukutane na text ya cjakuelewa [emoji23][emoji23][emoji23]
Ukimtumia hela ya tuition atakushukuru "tanteee kaka"Sijaielewa hii message, walimu naombeni mnitafsirie. Huyu dogo yupo kidato cha nne na anategemea kufanya mtihani mwaka huu.
View attachment 3009869
Sasa uchoko umeingiaje hapo jamani? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wa kiume kidogo wanaandika vizuri kama huyo Philipo.
Wa kike ni balaa, nilipata kadem kamemaliza form 4.
Zile text zake aisee ziliniwia ugumu mno kumuelewa, ilikua inanibudi nipige simu tu maana simuelewi anachoandika.
Hao wanaelewana wao kwa wao, kama sio wa ulimwengu huo huwezi kumuelewa. Mchane mdogo wako aache uchoko kukuandikia maneno kwa vifupi, hiyo ni dharau.
Tena ampige biti sana. Hawa wanafunzi wa siku hizi gesi kweli. Wengi wanaandika kishoga Shiga. Hata humu wamo wengi tu. Neno mpaka,utasikia mbaka. Neno hivi utasikia ivi.Muandikie msg mwambie marufuku kumtumia msg zenye xxxxxx Kama hawezi kuandika vzr apige vinginevyo atajilaumu