Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Halafu mwanaume
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kayumba ndio zinafundìsha kuandika hivi?Wazazi wakiambiwa pelekeni shule Watoto za kueleweka hawajali matokeo ya mtoto kusoma kayumba ndio hayo
Ushoga, kufirimbwa.Nini maana ya uchoko? Hata huko kimtaani.
Na hapaa unakataa nn nilichokisema? Kwann mtu akosee useme uchokoo, hakuna kingine cha kuhusisha? LolUshoga, kufirimbwa.
Aisee unajistukia bibie wala huwa hatuchukulii serious kiasi hicho.Na hapaa unakataa nn nilichokisema? Kwann mtu akosee useme uchokoo, hakuna kingine cha kuhusisha? Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mnaupenda sanaa eeeh!!!Aisee unajistukia bibie wala huwa hatuchukulii serious kiasi hicho.
Enewei jamaa aache uchoko
Wanaupenda waufanyao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mnaupenda sanaa eeeh!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na nyie muutajao, ndo mwanzo wa kuelekea kuufanya.Wanaupenda waufanyao
Haipo hiyo kuutaja sio kuufanya, kwani ukiwa unataja wizi utakuja kua mwizi??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na nyie muutajao, ndo mwanzo wa kuelekea kuufanya.
Kwani huo wizi unautaja hata pasipohusika? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haipo hiyo kuutaja sio kuufanya, kwani ukiwa unataja wizi utakuja kua mwizi??
Popote tu, labda huyo mwizi ajistukie kama wewe ulivyofanya.Kwani huo wizi unautaja hata pasipohusika? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe unalalamika kwenye message Wakati Hadi necta ndo hivyohivyoSijaielewa hii message, walimu naombeni mnitafsirie. Huyu dogo yupo kidato cha nne na anategemea kufanya mtihani mwaka huu.
View attachment 3009869
Kwa kweli huu uandishi hata mimi huwa siupendi kabisa, meseji za namna hiyo huwaga sizijibuSijaielewa hii message, walimu naombeni mnitafsirie. Huyu dogo yupo kidato cha nne na anategemea kufanya mtihani mwaka huu.
View attachment 3009869
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umekimbilia kujistukia, mie sijistukii nimeuliza.Popote tu, labda huyo mwizi ajistukie kama wewe ulivyofanya.
Ndiooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbeee??