Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio nimekagua nikakuta umemsahishia mtihani wake wa kiswahil kapata 90 halafu ukamwandikia "vixureee" badala ya vizuri 😂Walimu tuna taabu hii nchi🙆🙆🙆
Sasa hapo walimu wanahusikaje? Madaftari yake umekagua ukakuta kaandika huo upuuzi?
Bora anajua kuandika Tutiona kuliko wa TuixhieeniSijaielewa hii message, walimu naombeni mnitafsirie. Huyu dogo yupo kidato cha nne na anategemea kufanya mtihani mwaka huu.
View attachment 3009869
Nje ya mada, wakili ulipotelea wapi??Xaxa xi umjb kk? Ha ha ha ha ha ha
Mkuu, kiukweli huo ni uandishi wa kipang'ang'a sana. Yeyote akiniandikia hivyo, huwa simjibu.
Nipo MkuuNje ya mada, wakili ulipotelea wapi??
Inaonekana hata wewe akili zako ni kama za huyo dogo anayeandika kipuuzi.Wazazi wanaingiaje hapo, kwani wao ndo wamemfundish kuandika??
Ni upuuzi mumy!Walimu wanawafundisha vizuri tu hao watoto
Tatizo wanaona kuandika maandishi ya kipuuzi ndio ujanja
Hiyo ni fashion
Mkuu, Sasa na wewe hiyo "vzr" ndio nini !?Muandikie msg mwambie marufuku kumtumia msg zenye xxxxxx Kama hawezi kuandika vzr apige vinginevyo atajilaumu
Nimeipenda hiiDogo anaonekana mzuri sana kwenye lugha ya kichina muendeleze 😅😅
Kwani kuna wazazi wanafundisha watoto kuandika hivyo?Kwani kuna mwalimu anaefundisha huo ujinga
Hata iyo akili yako iliyokwambia malezi ya wazazi ndo yamefanya aandike hivyo ni kama ya huyo dogo tu !Inaonekana hata wewe akili zako ni kama za huyo dogo anayeandika kipuuzi.
Kwan kwenye madaftar wanafundishwa hivyo? Huo upuuzi wa wazazi ndio mana watoto wenu wanaandika upuuziWazazi wanaingiaje hapo, kwani wao ndo wamemfundish kuandika??