Huyu member anayejiita UMUGHAKA anatakiwa apewe tuzo ya utunzi wa hadithi

Nipo naifatilia mkurya Yupo speed halembi Kama wengine
 
Maneno matupu haitoshi kama vipi tuone namna ya kumchangia jamaa chochote kile. Maana anatuburudisha na kutufanya tusahau madeni tuliyonayo kwa mda, achilia mbali shida ya maji.
Tumchangie, uwepo utaratibu mzuri.
 
Kwamba katupiga kamba?

Halafu amefika form 6 huyu, sema labda aliamua kuficha baadhi ya mambo yake personal.
Kwa form 6 wanaomaliza siku hizi hata kujieleza hawawezi tena ukute kasoma hizi kayumba.
But Kwa jinsi UMUGHAKA anavyoandika na kupangilia story, sio mtu wa kijiwen atakuwa kaficha ukweli kuhusu yeye na shughuli zake.
 
[mention]UMUGHAKA [/mention] ni habari nyingine ile story ya mchawi walichomfanya ilikua balaa
 
Mimi nampa pongezi san ila kwa vijana basi anastahili sana ila kwa wazee kuna mzee wangu wa kuitwa JBourne59 huyu sitaki kusema hapewe nini ila naomba upitie nyuzi zake humu ndani usipompa heshima yake niko pale.
You nailed it.

Huyu mzee nimemfuatilia toka simulizi yake na mpenzi wake "Hamida"

Mzee anajua kusimulia sanaaaa.

Na anajitahidi kutumia kiswahili fasaha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
UMUGHAKA ajengewe sanamu, mimi si mpenz wa story ila kwa UMUGHAKA nimejikuta navutiwa na stories
 
Huyu jamaa unasoma story yake Hadi picha ya mwise inakujia, picha ya kijiwe Cha kuuzia miwa inakuja, mamdogo mnoko nae unamuona kabisa.
Kuna wakati anasimuali uchakataji wa papuchi afu naona mashine yangu inasimama [emoji23][emoji23][emoji23] afu story yenyewe ya kutungwa daaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…