Huyu member anayejiita UMUGHAKA anatakiwa apewe tuzo ya utunzi wa hadithi

Huyu member anayejiita UMUGHAKA anatakiwa apewe tuzo ya utunzi wa hadithi

Boda boda Ina shida Gani?
Hakuna shida kwenye boda boda. but kwa jinsi UMUGHAKA anavyopangia story na anavyo elezea matukio anaonekana ni mtu sio wa fuji za boda boda.
Na kama boda boda wengi wakiwa na aliki kama ya UMUGHAKA ajali za boda boda zatapungua sana. Kwani wataendesha kwa mpangilio na kufuata sheria zote barabaran.
 
Huyu jamaa ana kipaji cha pekee, halafu inaonekana yuko smart kichwani; flow ya matukio huwezi kudadisi, kila tukio linakuja kiuhalisia. Na jambo la kipekee ni kwamba ana kumbukumbu sana, hasau jambo hata moja alilopitia katika mkasa wake huo! BIG UP MAN!
 
You nailed it.

Huyu mzee nimemfuatilia toka simulizi yake na mpenzi wake "Hamida"

Mzee anajua kusimulia sanaaaa.

Na anajitahidi kutumia kiswahili fasaha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika , mwanzo kwa kiswahili chake nilijua ni ndugu yetu wa pwani kuja kustuka hata sio wa pwani ila ni huko bara ila kiswahili fasaha anakiwezea
 
Kwa form 6 wanaomaliza siku hizi hata kujieleza hawawezi tena ukute kasoma hizi kayumba.
But Kwa jinsi UMUGHAKA anavyoandika na kupangilia story, sio mtu wa kijiwen atakuwa kaficha ukweli kuhusu yeye na shughuli zake.
Kweli kabisa...aliamua tu kujishusha..ingawa pia boda haina maana ndio mtu wachini nao ni watu muhimu kwa familia zao na wana thamani
 
Mkuu Slowly nakushukuru sana kwa kutambua mchango wangu kwenu,mbarikiwe nyote mnaoendelea kutambua mchango wangu katika hii platform pendwa ya Jamii Forum!.

Nimepitia comments zote na nimeona upendo wenu kwangu ulivyo mwingi!,nawashukuru sana ndugu zangu!.

Pengine ninachokipaji ambacho bado sijakielewa kuhusu uandishi,mimi naona naandika kawaida kabisa lakini watu wengi wanasema naandika vizuri!,niwapongeze sana kwa kuliona hilo ndugu zangu,mimi muda mwingi nashinda kijiweni hapa bunju na kazi yangu ni muendesha bodaboda tu!.Sina kazi au kibarua kingine tofauti na hiki ninachokifanya kwasasa!.

Mara zote naandika haya masimulizi kwa kutumia simu yangu ya mkononi niliyonayo mpaka sasa ambayo ni Samsung S9.Hii simu ndiyo kila kitu kwangu kwa kuandika,kupiga na kupokea simu!.Huwa nikiwa nimekaa sina abiria najitahidi kuandika chap,na nikipata abiria nasevu nilipoishia na nikirudi naendelea tena!.

Sababu ya mimi kuendesha bodaboda nadhani nitaieleza kwenye Mkasa wangu unaoendelea wa NILIVYONUSURIKA KIFO BAADA YA MZEE KUNITIMUA NYUMBANI.


Hivyo niwatoe shaka tu ndugu zangu ya kwamba sina kibarua kingine tofauti na hiki cha bodaboda.

Nawapenda sana[emoji120]
 
Mkuu Slowly nakushukuru sana kwa kutambua mchango wangu kwenu,mbarikiwe nyote mnaoendelea kutambua mchango wangu katika hii platform pendwa ya Jamii Forum!.

Nimepitia comments zote na nimeona upendo wenu kwangu ulivyo mwingi!,nawashukuru sana ndugu zangu!.

Pengine ninachokipaji ambacho bado sijakielewa kuhusu uandishi,mimi naona naandika kawaida kabisa lakini watu wengi wanasema naandika vizuri!,niwapongeze sana kwa kuliona hilo ndugu zangu,mimi muda mwingi nashinda kijiweni hapa bunju na kazi yangu ni muendesha bodaboda tu!.Sina kazi au kibarua kingine tofauti na hiki ninachokifanya kwasasa!.

Mara zote naandika haya masimulizi kwa kutumia simu yangu ya mkononi niliyonayo mpaka sasa ambayo ni Samsung S9.Hii simu ndiyo kila kitu kwangu kwa kuandika,kupiga na kupokea simu!.Huwa nikiwa nimekaa sina abiria najitahidi kuandika chap,na nikipata abiria nasevu nilipoishia na nikirudi naendelea tena!.

Sababu ya mimi kuendesha bodaboda nadhani nitaieleza kwenye Mkasa wangu unaoendelea wa NILIVYONUSURIKA KIFO BAADA YA MZEE KUNITIMUA NYUMBANI.


Hivyo niwatoe shaka tu ndugu zangu ya kwamba sina kibarua kingine tofauti na hiki cha bodaboda.

Nawapenda sana[emoji120]
Ndugu yangu Umughaka, asante sana kwa unyenyekevu wako.
Najua hutalewa sifa ukaharibu kipaji chako.
 
Mkuu Slowly nakushukuru sana kwa kutambua mchango wangu kwenu,mbarikiwe nyote mnaoendelea kutambua mchango wangu katika hii platform pendwa ya Jamii Forum!.

Nimepitia comments zote na nimeona upendo wenu kwangu ulivyo mwingi!,nawashukuru sana ndugu zangu!.

Pengine ninachokipaji ambacho bado sijakielewa kuhusu uandishi,mimi naona naandika kawaida kabisa lakini watu wengi wanasema naandika vizuri!,niwapongeze sana kwa kuliona hilo ndugu zangu,mimi muda mwingi nashinda kijiweni hapa bunju na kazi yangu ni muendesha bodaboda tu!.Sina kazi au kibarua kingine tofauti na hiki ninachokifanya kwasasa!.

Mara zote naandika haya masimulizi kwa kutumia simu yangu ya mkononi niliyonayo mpaka sasa ambayo ni Samsung S9.Hii simu ndiyo kila kitu kwangu kwa kuandika,kupiga na kupokea simu!.Huwa nikiwa nimekaa sina abiria najitahidi kuandika chap,na nikipata abiria nasevu nilipoishia na nikirudi naendelea tena!.

Sababu ya mimi kuendesha bodaboda nadhani nitaieleza kwenye Mkasa wangu unaoendelea wa NILIVYONUSURIKA KIFO BAADA YA MZEE KUNITIMUA NYUMBANI.


Hivyo niwatoe shaka tu ndugu zangu ya kwamba sina kibarua kingine tofauti na hiki cha bodaboda.

Nawapenda sana[emoji120]

Mura ukimaliza hii story ya sasa nakupm no yangu tuwasiliane nikupe zawad tata weito wa Mogabir
 
Sijawahi kusoma thd zake na nimemjua kupitia hii thd tu,

Nitajaribu kutafuta thd zake nimsome.
 
Sijasona uzi wake hata mmoja ,ila kwa trend ninayoiona kwenye views , comments na uzi mda wote upo juu huyu mwamba anahitaji pongezi amefanikiwa kuiteka Jf.Natamani siku nipate muda wa kusoma vizuri nyuzi zake zote nishudie yaliyomo.
Mi nilianza kusoma mmoja lakini sijamaliza

Hizi habar za itaendelea huwa zina niboa sana
 
Mkuu Slowly nakushukuru sana kwa kutambua mchango wangu kwenu,mbarikiwe nyote mnaoendelea kutambua mchango wangu katika hii platform pendwa ya Jamii Forum!.

Nimepitia comments zote na nimeona upendo wenu kwangu ulivyo mwingi!,nawashukuru sana ndugu zangu!.

Pengine ninachokipaji ambacho bado sijakielewa kuhusu uandishi,mimi naona naandika kawaida kabisa lakini watu wengi wanasema naandika vizuri!,niwapongeze sana kwa kuliona hilo ndugu zangu,mimi muda mwingi nashinda kijiweni hapa bunju na kazi yangu ni muendesha bodaboda tu!.Sina kazi au kibarua kingine tofauti na hiki ninachokifanya kwasasa!.

Mara zote naandika haya masimulizi kwa kutumia simu yangu ya mkononi niliyonayo mpaka sasa ambayo ni Samsung S9.Hii simu ndiyo kila kitu kwangu kwa kuandika,kupiga na kupokea simu!.Huwa nikiwa nimekaa sina abiria najitahidi kuandika chap,na nikipata abiria nasevu nilipoishia na nikirudi naendelea tena!.

Sababu ya mimi kuendesha bodaboda nadhani nitaieleza kwenye Mkasa wangu unaoendelea wa NILIVYONUSURIKA KIFO BAADA YA MZEE KUNITIMUA NYUMBANI.


Hivyo niwatoe shaka tu ndugu zangu ya kwamba sina kibarua kingine tofauti na hiki cha bodaboda.

Nawapenda sana[emoji120]
[emoji122][emoji122][emoji122]
 
Kuna wakati anasimuali uchakataji wa papuchi afu naona mashine yangu inasimama [emoji23][emoji23][emoji23] afu story yenyewe ya kutungwa daaaaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]dushe linasimama
 
Jamaa yuko vizuri kiukweli
 
Jf wangemtengea kisehemu chake aka forum ya simulizi za UMUGHAKA
 
Back
Top Bottom