Huyu member anayejiita UMUGHAKA anatakiwa apewe tuzo ya utunzi wa hadithi

Huyu member anayejiita UMUGHAKA anatakiwa apewe tuzo ya utunzi wa hadithi

Jamii forums ina watunzi wengi wa visa vya kubuni na vingine vya kiuhalisia katika maisha yao, Ila huyu mwamba UMUGHAKA ametia fora, sidhan kama kuna member anamzidi Kwa simulizi zake zenye kutisha na kusisimua pia.

Thread zake zimekuwa zikifatiliwa Kwa ukarbu Sana na member wengi kuliko kawaida, mtiririko wake ni wenye kuvutia kiasi kwamba akianza kusimulia unatamani aendelee mpaka mwisho.

Huyu jamaa ana kipaji cha uandishi haijalishi visa vyake ni vya kweli au vya kutunga.

Sijui vituo vikubwa vya televisions eg ITV, TBC, WASAFI TV, STAR TV, CLODS TV , Chanel Ten etc wanakwama wapi kupata script tamu kama hizi Kwa ajili ya tamithiliya.

Simulizi Kali kabisa Kwa sasa Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe
Japo katoa nyingine pia, Uzi unakimbia Kwa speed ya 6G.

Salute Sana kwako UMUGHAKA
Wote yeye na kiazi mwenzake yule wa kujiita mpwayungu village ni makanjanja , hivi huyu Umughaka story zake anamaliza ?, yule pimbi mwenzake anasimulia story halafu hamalizi , kidagaa mmoja yule mpwayungu village you are an idiot , uwe inamaliza story zako ,sio watu tunapoteza muda kusoma utopolo wako halafu unatuacha hewani .
Imeisha iyo
 
Kuna wakati anasimuali uchakataji wa papuchi afu naona mashine yangu inasimama [emoji23][emoji23][emoji23] afu story yenyewe ya kutungwa daaaaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wote yeye na kiazi mwenzake yule wa kujiita mpwayungu village ni makanjanja , hivi huyu Umughaka story zake anamaliza ?, yule pimbi mwenzake anasimulia story halafu hamalizi , kidagaa mmoja yule mpwayungu village you are an idiot , uwe inamaliza story zako ,sio watu tunapoteza muda kusoma utopolo wako halafu unatuacha hewani .
Imeisha iyo
Mkuu umekrupuka Tu labda kuponda , sjui kuhusu mpwayungu , UMUGHAKA visa vyake anamalizia mpak mwisho ,
 
Huyo Umaghaka karibu kila stori lazima achezee kichapo!! Ila anajua, stori yake ya kuuza miwa ilikuwa nzuri.
 
Kuna Mdau pia ktk Simulizi za Visa na Mikasa, anaitwa "Jack Daniel" jamaa yupo juu sana ktk kupangilia matukio na aina ya uandishi wake,

Ila jamaa ni kama anatingwa sana na baadhi ya Majukumu yake, hupelekea simulizi zake kuwa slow sana, ila ni Bonge la Simulizi..
 
UMUGHAKA is the best wengine nao kama Lwanda Magere nae yupo vizr
 
Kuna story yake kule kaikimbia inaitwa utajiri wa rafiki yangu
Mwanzoni nikikuwa namtetea ila naona kila dalili za kulewa sifa, kuna kila dalili kuwa ile story haitafika mwisho.
 
Jamii forums ina watunzi wengi wa visa vya kubuni na vingine vya kiuhalisia katika maisha yao, Ila huyu mwamba UMUGHAKA ametia fora, sidhan kama kuna member anamzidi Kwa simulizi zake zenye kutisha na kusisimua pia.

Thread zake zimekuwa zikifatiliwa Kwa ukarbu Sana na member wengi kuliko kawaida, mtiririko wake ni wenye kuvutia kiasi kwamba akianza kusimulia unatamani aendelee mpaka mwisho.

Huyu jamaa ana kipaji cha uandishi haijalishi visa vyake ni vya kweli au vya kutunga.

Sijui vituo vikubwa vya televisions eg ITV, TBC, WASAFI TV, STAR TV, CLODS TV , Chanel Ten etc wanakwama wapi kupata script tamu kama hizi Kwa ajili ya tamithiliya.

Simulizi Kali kabisa Kwa sasa Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe
Japo katoa nyingine pia, Uzi unakimbia Kwa speed ya 6G.

Salute Sana kwako UMUGHAKA
Una IDs ngapi Dogo? Unatuchanganya sometime.
 
Back
Top Bottom