Huyu member anayejiita UMUGHAKA anatakiwa apewe tuzo ya utunzi wa hadithi

Wote yeye na kiazi mwenzake yule wa kujiita mpwayungu village ni makanjanja , hivi huyu Umughaka story zake anamaliza ?, yule pimbi mwenzake anasimulia story halafu hamalizi , kidagaa mmoja yule mpwayungu village you are an idiot , uwe inamaliza story zako ,sio watu tunapoteza muda kusoma utopolo wako halafu unatuacha hewani .
Imeisha iyo
 
Kuna wakati anasimuali uchakataji wa papuchi afu naona mashine yangu inasimama [emoji23][emoji23][emoji23] afu story yenyewe ya kutungwa daaaaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mkuu umekrupuka Tu labda kuponda , sjui kuhusu mpwayungu , UMUGHAKA visa vyake anamalizia mpak mwisho ,
 
Huyo Umaghaka karibu kila stori lazima achezee kichapo!! Ila anajua, stori yake ya kuuza miwa ilikuwa nzuri.
 
Kuna Mdau pia ktk Simulizi za Visa na Mikasa, anaitwa "Jack Daniel" jamaa yupo juu sana ktk kupangilia matukio na aina ya uandishi wake,

Ila jamaa ni kama anatingwa sana na baadhi ya Majukumu yake, hupelekea simulizi zake kuwa slow sana, ila ni Bonge la Simulizi..
 
UMUGHAKA is the best wengine nao kama Lwanda Magere nae yupo vizr
 
Kuna story yake kule kaikimbia inaitwa utajiri wa rafiki yangu
Mwanzoni nikikuwa namtetea ila naona kila dalili za kulewa sifa, kuna kila dalili kuwa ile story haitafika mwisho.
 
Una IDs ngapi Dogo? Unatuchanganya sometime.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…