Huyu member humu ana maneno sana, ila nje ni domo zege

Duh! Nimeipenda bure kiki yako, ila nakushauri cyo kila mwanaume utakaekutana nae ana wazo la kukuimbisha, wengine wana familia zao na wanajiheshimu, udomo zege hauhusiki hapo
 
Na wewe kilaza sana... Yaani umeshasahau kipindi kile unanifuata inbox unataka tuwe wapenzi humu JF nikakukatalia ukaamua kumfuata mshana jr? Come on....you should have respect to people who are educated than you. Sometime tunaponyamaza ni sababu we dont wanna spill out the beans.



Ameikimbia I'd yake mbn simuon kaka yangu mpendwa huyu
 
WW3 coming soon
 
Khaaaa mbn kama umepanick brother angu sikutegemea kama unaongea maneno kama haya.

Mm kilazaa asanteee Nashukuru .
Mimi nimewahi kukutongoza hebu nipe ushahidi wa SMS za pm nilizokutongoza.

Kama upo serious na unachokisema.

Kama humanaishi barikiwa na hivyo piah
 
kama id hyo ni yako gugudume manake nshakutongoza..dah am sooorrry
 
Hahaha Hii. .. Yale Mabomu ya little boy na fat boy yaliyo rushwa kule Nagasaki na nakamura ya Takuwa ni cha mtoto
Wacha bwana!..ngoja tuchimbe mahandaki kabisa ya kujificha…
πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…