mojave
JF-Expert Member
- Apr 30, 2016
- 5,568
- 6,424
Uzi tayari[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzi tayari[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sio mimi na Mama Sabrina kweli??Mambo ya jf weng wana fake life aiseee Kuna kama wawili hv niliwaona Dom juz ukiwaona wako tofaut saana na tambo zao wako bize sana na story za jf Tena Ni mabest sana
[emoji16][emoji16][emoji16] haiwezi kutokea mkuuSio ajabu ukakutana na legendary Zero IQ akashindwa hata kutoa salamu.[emoji23][emoji23][emoji23]
Sio mimi na Mama Sabrina kweli??
Hahahahaaa.. nakuja Mwanza week ijayo halafuMamaaaa sie mwanzaa
Hahahahaaa.. nakuja Mwanza week ijayo halafu
mods njooni muunganishe ID [emoji23][emoji23]
Yap twende zetu cask
Ndio ndioo. Na palee tumeenda siku ile na twin wangu lazima pahusike [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sio weweSio mimi na Mama Sabrina kweli??
Ooh.. sawaSio wewe
Mkuu umesha spill out!Na wewe kilaza sana... Yaani umeshasahau kipindi kile unanifuata inbox unataka tuwe wapenzi humu JF nikakukatalia ukaamua kumfuata mshana jr? Come on....you should have respect to people who are educated than you. Sometime tunaponyamaza ni sababu we dont wanna spill out the beans.
Dah! Nilitaka kuishia njian...Ubarikiwe aisee toka nijiunge jf sijawahi kutongoza mm natongozwa .
Tusizibiane ridhiki za madanga
Aisee bonge la BWWUkiona mtu kaweka avata ya sura ujue sio yeye. ukiona mtu kaweka inayoonesha sehemu zingine za maumbile yake lakini sura haionekani ujue ni yeye. sasa ukitizama avatah ya mleta uzi na anachokisema bila shaka ni yeye.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]kama id hyo ni yako gugudume manake nshakutongoza..dah am sooorrry
Mwambie na ashindwe kabisa na ikibid aje aombewe kweny kanisa langu ili nimtoe pepoWewe naye kumbe mbeya ndiyo maan nakunyimaga namba pm mxeeew ushindwe.